Moto wa ajabu, viumbe wa ajabu, ajali ya kushangaza..!

Sasa mkuu moto unaweza kuwa wa ajabu lakini hayo mabaki ya viumbe viwili vinavyofanana na binadamu hao ni popo bana!
 
Kafanana kama nguchiro... ni wanyama wenye wivu na wakorofi sana...

Wakishikwa na hasira huvuruga chochote au kupigana na chochote kile mpaka hasira zimwishe...



Cc: mahondaw
 
Hajawahi muona panya buku huyu

Mara ya kwanza kumuona panya buku nilishangaa sana ukubwa wake
Hebu angalia hii picha kama sio yeye
IMG_0333.jpg
 
Back
Top Bottom