papa anayevutia
Senior Member
- Sep 5, 2012
- 153
- 52
Kama Kenya ipo nafas ya sita basi nafasi ya tano utangulie Somalia,hahahah watu wanne siku nne jeshi zima,polis,wings na special task forces!!!! Shame in u kenyans
ila kwa kweli kenya mlituaibisha..siku nne mnalia na watu wasiozidi kumi.......