Most Powerful Militaries in Africa

Mkuu, sababu kuu ya kuandika nilichoandika ni kuonyesha kuwa allocation iliotengewa jeshi letu ni kubwa sana compared na lenyu, hata kama hatuna idadi kamili. Its not a factual statement but at least you got what I was insinuating. Am not a war enthusiast, so sina raha sana nikiona serikali yangu ikitenga hela nyingi kwa wanajeshi kuliko idara nyingi muhimu kwa mwananchi wa kawaida, lakini ukweli lazima usemwe.


Km Mmeanza kutenga pesa nyingi na kujenga jeshi lenu ni siku Hizi! Jeshi letu limekua linajengwa miaka yote na hauwezi ukapata Figure kamili ya Sum of
Money! Kwa Hiyo huo mlinganisho wako Bado hauko sahihi!
 
hahahaha wanipa raha weye. wamaanisha ustadi wenyu wa kijeshi ndio uliomfanya Uhuru na kagame walegeze msimamo wao wakuitenga TZ, ni aidha wewe si msomi wa current affairs ama you are living in your own world.

Nakubaliana na wewe kuwa huwezi research jeshi la mwenzako ukaja na conclusive results, lakini kuna mambo yako hadharani ndio tunayo ya discuss. sina ubaya eti.


Sasa ukiijua sababu ya Uhuru na Kagame kuitenga Tanzania kwenye hii jumuia Ndo utajua na sababu ya kwanini walilegeza huo msimamo wao!

Unafanya mchezo na Tz wewe?!
 
Sasa ukiijua sababu ya Uhuru na Kagame kuitenga Tanzania kwenye hii jumuia Ndo utajua na sababu ya kwanini walilegeza huo msimamo wao!

Unafanya mchezo na Tz wewe?!

Sifanyi mchezo na TZ, tumekuja kujadili takwimu hizi nanyi mme pinda mada ikawa kama kawaida us versus them. sina ubaya na Tanzania mie, lakini ukweli usemwe bana, JWTZ halioni hata chembe kwa KDF, wakina Live fire wamebobea sana kwa haya mambo mie ni spectator tu.
 
Sifanyi mchezo na TZ, tumekuja kujadili takwimu hizi nanyi mme pinda mada ikawa kama kawaida us versus them. sina ubaya na Tanzania mie, lakini ukweli usemwe bana, JWTZ halioni hata chembe kwa KDF, wakina Live fire wamebobea sana kwa haya mambo mie ni spectator tu.


Siku zote MUAMBA NGOMA huvutia kwakwe! Ni lazima wewe useme KDF na Mimi ntasema JWTZ Kwahiyo Ndo ivyo!

Huwezi pata Taarifa kamili za Kuhusu jeshi lolote!
 
Kenyan u will never understand TZ until u become good friend, Dunia inatambua jinsi tulivyopinga unyanyasaji wa kikolon.....JWTZ wako na nidham bila nidham KDF will never be the best ni "WIZI" shame on u.
 
Aise kaka unadhani strategically mnatushinda viwanjani? you will always play second fiddle to us, thought you had already adjusted to the second or third position.

Nipe mifano kama kweli mko njema ktk strategies
 
Idd Amin alikuwa na vifaa vingi vya kisasa ila mbinu hakua nazo....Kenyan should not underestimate TZ.

Dont get it twisted, Kenya is not underestimating TZ, most of us are just civilians trying to discuss an issue that we have little to no grasp on, its not like the Kenyan goverment is saying that JWTZ sucks balls, no, its akina Smatta voicing their lay man opinion that their army is better citing articles available freely in the Internets.

Nduli Idi Amin alikua na vifaa gani vya maana?
 
Idd Amin alikuwa na vifaa vingi vya kisasa ila mbinu hakua nazo....Kenyan should not underestimate TZ.


Mkuu Dhana za kisasa zipo Na wataalamu wengi sana wapo! Yani Tupo kamili kila wakati na kila saa na popote pale!
 
Nduli Idi Amin alikua na vifaa gani vya maana?
Aliizidi Tz kwa Model 2 za MiG na Tupolev Tu-22 ambazo TZ hazikuwepo!! Alikuwa ta Vifaru T-54 na 55 ambavyo ni juu ya JWTZ! aliizidi TZ kwa BM model ambazo hata hivyo zilitekwa zikageiuziwa kwao! Alipewa msaada wa wanajeshi kama 2,500 from Libya na vifaa vya kisasa pia ila still JWTz walisimama imara! Nahisi nimekujibu kuwa I. Amin alikuwa na vifaa gani vya kisasa!!
 
Aise kaka unadhani strategically mnatushinda viwanjani? you will always play second fiddle to us, thought you had already adjusted to the second or third position.
Strategies zipi mlizonazo ninyi wa-Kenya? Sidhani kama mngekuwa na jeshi zuri mngehangaika kiasi hicho na Al-Shabab!! Mpaka leo bado hamjaweza kuwatokomeza hao watu. Kwa ufupi jamani hamna jeshi ninyi!!
 
Kweli waafrika tuna matatizo. Matumizi ya kijeshi hayajengi nchi. Hivi kuna sababu ya mtanzania kusononeka kuwa Kenya hipo juu?
 
7.LIBYA
6.KENYA
5.ALGERIA
4.NIGERIA
3.SOUTH AFRICA
2.ETHIOPIA
1.EGYPT

MJUMBE HAUWAWI....
Source:Most Powerful Militaries in Africa | AFKInsider

The Global Fire Power ranking, or GFP, measures countries’ military strength and assigns a power index number in order to compare them to other countries. Many factors are taken into consideration, and smaller countries can compete with larger ones due to points given for refinement and technological advancemen - See more at: Most Powerful Militaries in Africa | AFKInsider

Kama Kenya ipo nafas ya sita basi nafasi ya tano utangulie Somalia,hahahah watu wanne siku nne jeshi zima,polis,wings na special task forces!!!! Shame in u kenyans
 
Back
Top Bottom