Most Powerful Militaries in Africa

hadi jeshi la Kenya nakataa, lililoshindwa westgate na kulipua jengo na kusingizia wameua magaidi watano kumbe magaidi walikuwa wanne hawakuua hata mmoja zaidi ya kuuana wao kwa wao, jeshi halina nidhamu acha utani kabisa...
hata wewe mkuu ukiamua unaweza kuunda rank yako ukapost basi tu..
 
hadi jeshi la Kenya
nakataa, lililoshindwa westgate na kulipua jengo na kusingizia wameua
magaidi watano kumbe magaidi walikuwa wanne hawakuua hata mmoja zaidi ya
kuuana wao kwa wao, jeshi halina nidhamu acha utani kabisa...
usiamini kila unachosikia hiyo chat imetolewa usa na ndio husupport budget sam% ya KDF SASA ulitegemea wajilet down think twice
 
kwa taarifa zisizo rasmi, jeshi la Tz ndio poweful in East Africa...........hilo la kenya tena ni nu nuz
 
Jeshi bora ni la Bongo (JWTZ) of (TPDF) coz halijawahi kushindwa operation yoyote ile ndani au nje ya nchi!!!

Source; My bedroom!
 
Jeshi bora ni la Bongo (JWTZ) of (TPDF) coz halijawahi kushindwa operation yoyote ile ndani au nje ya nchi!!!

Source; My bedroom!

Hahahaha kelele hio aise, but its nice to see that Tanzania has so much confidence in its army.
 
what a joke!!! unajua nchi kama morrocco air force yake wana fourth generation f16 zaidi ya 20..... hizi ni among the most advance fighter jet in the world kwa mfano hapo jiran zetu kenya wenye outdated second generation f5 fighter jet kweli wako juu ya morocco???
 
Jeshi bora ni jeshi la wananchi la Tanzania tu katika ukanda wetu. M23 kule DR Congo wanaelewa hili.

Kipindi kile cha mapambano ya kumng'oa NDULI baada ya vita vya Kagera tulikuwa tunaimba hivi

jeshi letu shupavu
jeshi la wananchi
jeshi la mapinduzi
mashujaa wa Tanzania

mwalimu hongera
makamu hongera
wananchi hongera
ushindi tumepata

Ubora wa jeshi letu uko kwenye NIDHAMU...
 
ubora wa jeshi ktk takwimu GFP zinategemea sana kiwango cha bajet ya ulinz,ununuz wa silaha wala sio mafanikio ya oparetion za jesh husika
 
Hahahaha kelele hio aise, but its nice to see that Tanzania has so much confidence in its army.

heheheheheh...kaka usiposifia chako nani mwingine akisifie.

Daima mimi Mtanzania, Mwananchi mzalendo
 
what a joke!!! unajua nchi kama morrocco air force yake wana fourth generation f16 zaidi ya 20..... hizi ni among the most advance fighter jet in the world kwa mfano hapo jiran zetu kenya wenye outdated second generation f5 fighter jet kweli wako juu ya morocco???[/
Hao Morroco wana hizo f16! lakini kumbuken kuwa kawaida ya Mmarekani ni kukalia vifaa vyake kokote pale ulimwenguni!!
Bora wangekuwa na Mig 35 kuliko kuwa na vifaa Advanced vya mmarekan (hata 5th generation kama F22-Raptor!!)
 
False info. hiyo wacha nikupe maono yangu .....
Jeshi Libya = Lilishindwa na vijana wakasambaratishwa. Jeshi la Kenya = Lilshindwa na vijana wane(4) wa ALSHBB KDF ikagaragara!! jeshi la Nigeria = Lina haha kwa BK. J eshi La SA = Ni la kukodisha (merecneries) Jeshi la Ethiopia = kiboko yao AlSHBB. hakuna lolote isipokuwa propaganda tu!!

Jeshi la Ethiopia ndio jesh ambalo linaogopwa sana na alshbb alafu kuhusu jesh la SA umeongopa kabisa...ila kama na KDF ni ya 6 basi JWTZ itakua ya tatu.....KDF hawana nidham hata kidogo.
 
Jeshi la Ethiopia ndio jesh ambalo linaogopwa sana na alshbb alafu kuhusu jesh la SA umeongopa kabisa...ila kama na KDF ni ya 6 basi JWTZ itakua ya tatu.....KDF hawana nidham hata kidogo.
Y'all fruits dont know what you are talking about. Mnadhani KDF ni wenzenu?
 
Back
Top Bottom