mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
dah, nyie mnaona kama pesa tunaziokota.... škununua gari sio kutumia pesa vibaya,acheni uoga
dah, nyie mnaona kama pesa tunaziokota.... škununua gari sio kutumia pesa vibaya,acheni uoga
All women are nagging in nature when it comes to demand what they want most......not all nagging wives are bad.Bad wife anamaanisha nagging wife.
Kama sio njoo pm chouda šDaah kwa hiyo sisi ni wauaji![]()
Between poverty and bad wife who kills a man faster?...
Una nikumbusha sana my primary English teacher alikua so Conservative and rigid alisoma kipindi cha Nyerere elimu ya watu wazima. alipenda sana useless trivial issues ila alisha fariki.........The word "most" in the heading should be prefixed with definite article "The" and becomes; "The most---.
Cf; constructive criticism.
Una nikumbusha sana my primary English teacher alikua so Conservative and rigid alisoma kipindi cha Nyerere elimu ya watu wazima. alipenda sana useless trivial issues ila alisha fariki.........
Kumbe umenikumbusha pia, rafiki yangu moja Mhaya alipenda sana sifa za kuonekana anajua sana kiingereza hata anaweza akavuruga maongezi muhimu, kisa a register his presence alikua mpumbavu kweli kweli, hata punctuation ndogo kwenye neno kama its, atapaaza sauti, watu wali mshangaa kwa ule ushamba wake, sijui ndo alikua wakwanza ukooni kwao kujua kiingereza au kusoma, lakini bahati mbaya nayeye pia kasha fariki..........Mimi secondary O level nimefundishwa kiingereza na mswahili mmoja na akina mama wawili wa kihindi, A level nilichukua science na nilibahatika kufundishwa Physics na mwalimu aliyesomea Uingereza, alikuwa mkali kinyama kwenye physics na kiingereza pia, huyu hasa ndiye aliyenipa msukumo mkubwa wa kujua kiingereza kwa kiasi kikubwa licha ya kwamba bado sija ki master vya kutosha.
But poverty can't kill you faster than a bad wife......Poverty because money gives you many options fear poverty.
Kumbe umenikumbusha pia, rafiki yangu moja Mhaya alipenda sana sifa za kuonekana anajua sana kiingereza hata anaweza akavuruga maongezi muhimu, kisa a register his presence alikua mpumbavu kweli kweli, hata punctuation ndogo kwenye neno kama its, atapaaza sauti, watu wali mshangaa kwa ule ushamba wake, sijui ndo alikua wakwanza ukooni kwao kujua kiingereza au kusoma, lakini bahati mbaya nayeye pia kasha fariki..........
Between poverty and bad wife who kills a man faster?...

Jibu tayari ushaliweka hapo vipi unataka kufa mapema ?bad wife who kills a man faster
Kumkwepa wapi Mzee utamkwepa kwa kifo au kumkimbiaMke mkorofi utamkwepa lakini umasikini haukwepeki.
Umasikini utakuua haraka kuliko huyo bad wife.
Kweli umenene jomba,bad wife akuepeki atakumaliza hata kabla ya kumuwaza kumkuepa.Kumkwepa wapi Mzee utamkwepa kwa kifo au kumkimbia
Umasikini unakwepeka kwa kufanya kazi na kujikimu