Most dangerous things to man

Most dangerous things to man

Haya unachepuka mkeo anaanza kukununia, ehee anakua hakujali tena unaasema ni bad wife

Huachi hela ya matumizi mama J anaanza kua na visirani unasema una refer ni bad wife
Em.malizia mengine
na je kama mwanamke ni bad spender akaharibu uchumi wa familia, huyo sio bad wife??
 
😂😂😂😂 hee na weww utakua mjinga labda una huo uwezo kwa karne hii inabidi mkeo akusaidie kiuchumi, mPlans na kuBuild together

Tafuta mwanamke atleast anajiweza hana vishida vidogovidogo mwaya
kuna wanawake wanashawishi waume zao kuingia expenses kubwa, mfano kusomesha ndugu wa mwanamke.... mnayo convincing power 😂
 
na je kama mwanamke ni bad spender akaharibu uchumi wa familia, huyo sio bad wife??
Bad spender unamtengeneza mwenyewe, ukiona she is overspending, expensiveyaani huezi mudu lifestyle yake achana nae tu for good wapo wanaoweza otherwise utarudi kwa hio ohrase Yakima kua ni bad wife cuz she is overspending
 
Mkuu najua hujaoa, hamnaga bad wife , ubaya wa mwanamke unatengenezwa na mwanaume mwenyewe
Sidhani kama ni kweli kuna wanawake wenye gubu na visirani tangu watoki kwao.
 
Najua haihusiani ila
Remember this it takes six men to carry a guy to his grave. It takes one woman to put him there
I like this one.......women are so powerful over men's life can destroye your future and life within a second.
 
Aah mkuu mtu haezi ibuka na kisirani na gubu bila sababu ya msingi
Dada huenda hujaolewa bado kuna wanawake kupata afueni ni kurudi ucku ukute amalela na kudamka alfajir kabla hajachagamka na makasiriko yake na mdomo juu.
 
Nimeolewa tayari, mi siezi kua na gubu bila sababu za msingi
Hongera ila usiwatetee wanawake wengine hatari sana, unaweza ukakonda ndani ya wiki moja ukipate mwenye mdomo mzuri.
 
Back
Top Bottom