Most dangerous things to man

Most dangerous things to man

Bad wife utampa talaka asepe, sasa huo ufukara talaka yake ni aidha utusue kimaisha au ukate moto japo chances za kukata moto ni kubwa zaidi.

Achana na ufukara wewe.
 
Umasikini ni kama nguo ulipo upo.

Tafadhali elewa swali la mleta uzi.
Ili usiwe masikini tafuta fursa fanya kazi pata Pesa Jenga utajiri wako

Mke mkaidi havumiliki ni sawa na maji ukiyaoga umeyaoga labda umkimbie ukisema uishi nae valangati lipo pale pale

Kwa Mimi mwanamke mshenzi/mkaidi (mad woman) ndio mbaya zaidi kuliko umasikini maana anaweza akakufirisi km ulikua tajiri atakuputisha ukawa masikini au km ni masikini kima Cha Kati ukaanguka kabisa ukawa fukara zaidi ya kapuku, fukara wa msongo kwa msongo wa mawazo, fukara kwa Pesa, fukara kwa kuchanganyikiwa, fukara kwa kuvurugwa mwisho wa siku unaenda kujirusha gorofa la 5 baada ya kumaliza Swala kwenye Msikiti wa Makumbusho, Dar es Salaam
 
Back
Top Bottom