mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
na pia bad wife ana uwezekano mkubwa wa kukusababishia umaskini....Kamwe huwezi linganisha umasikini na mwanamke mkorofi.
Umasikini ni ukosefu wa mahitaji yote muhimu kwenye maisha yako.
Mke mkorofi utamkwepa lakini umasikini haukwepeki.
Umasikini utakuua haraka kuliko huyo bad wife.

