Dabodaiga
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 441
- 707
NakaziaPoverty
NakaziaPoverty
Mkuu siku hizi mwanaume ukizuba tu unajikuta umetongozwa bure....hahahamimi ni mwanaume.
nalegeza.Nakazia
You're talkingBetween poverty and bad wife who kills a man faster?...
Mke anakwepeka, umaskin unakwepeka wewe vipKamwe huwezi linganisha umasikini na mwanamke mkorofi.
Umasikini ni ukosefu wa mahitaji yote muhimu kwenye maisha yako.
Mke mkorofi utamkwepa lakini umasikini haukwepeki.
Umasikini utakuua haraka kuliko huyo bad wife.
Lakini umasikini ubaya sawa ila hauue haraka kama bad wife, unachezea wrong choice ya mke.Umaskini mbaya, tena unatia haya
umaskini, mke mbaya... vyote sawa hakuna afadhali
Mchwakichuguu ebu nieleweshe nikuelewe.Mke anakwepeka, umaskin unakwepeka wewe vip
Usilegeze kaza hivyo hivyonalegeza.
Mkuu najua hujaoa, hamnaga bad wife , ubaya wa mwanamke unatengenezwa na mwanaume mwenyeweLakini umasikini ubaya sawa ila hauue haraka kama bad wife, unachezea wrong choice ya mke.
Mke unamchagua mwenyewe lakini umaskini unakuja tu hata kama hutakiumaskini, mke mbaya... vyote sawa hakuna afadhali
ukimchagua mke mbaya akakupiga mizinga mpaka ukafilisika?? hapo haujawa maskini kwa mbwembwe zako?? 😂Mke unamchagua mwenyewe lakini umaskini unakuja tu hata kama hutaki
NakaziaMkuu najua hujaoa, hamnaga bad wife , ubaya wa mwanamke unatengenezwa na mwanaume mwenyewe
mkuu nifafanulie hii falsafa yakoMkuu najua hujaoa, hamnaga bad wife , ubaya wa mwanamke unatengenezwa na mwanaume mwenyewe
BothBetween poverty and bad wife who kills a man faster?...
Asa mkeo anakupigaje mzingaukimchagua mke mbaya akakupiga mizinga mpaka ukafilisika?? hapo haujawa maskini kwa mbwembwe zako??![]()