Passion Lady imekula kwako akanana mpya aliyempata kwenye sherehe za mashujaaa
Mimi nampendekeza my wife wangu ( hivi hii inakubaliwa TANMO
Mimi nampendekeza my wife wangu ( hivi hii inakubaliwa TANMO
Last edited by a moderator:
Passion Lady imekula kwako akanana mpya aliyempata kwenye sherehe za mashujaaa
Mimi nampendekeza my wife wangu ( hivi hii inakubaliwa TANMO
binamu unantaka?
we kakwambia nani amepata king'amuzi huko?
ohoooooo nitakuja huko nibanane na Dena Amsi mimi
we nipandishe hasira tu hujui mi nyamayo hamu!
hakutaja jina cozSi ndio maana Ruttashobolwa anapata kigugumizi cha kumtaja akanana wake wa sasa ambaye alimpata kwenye sherehe ya mashujaaa
Tafadhali naomba @tanmo mpe ushindi my akanana Passion Lady naona hana mpinzani?
Passion Lady unataka niweke ushahidi wa picha hapa kumuonyesha Ruttashobolwa akiwa na akanana mpya siku ya mashujaaa
nipo nae hapa anakuangalia tu!!
utasutwa binamu hayaa!!
Ruttashobolwa ni ndugu yangu tumezaliwa na baba mmoja na mama mmoja ila babu na bibi mbalimbali na tuko kwenye professional moja ila wote matapeli
Ruttashobolwa ni ndugu yangu tumezaliwa na baba mmoja na mama mmoja ila babu na bibi mbalimbali na tuko kwenye professional moja ila wote matapeli
hhahahahahahahaha acha maneno mengi weka ushahidi.
Pacha acha tu, hapa niko kwenye Mgogoro wa nafsi kati ya huyu Nanihii na yule Nanihii ni yupi aibuke kidedea...
Anyway, time will tell
Huu ni mwendelezo wa Ile Thread ya watu8 kule Jukwaa la Picha. https://www.jamiiforums.com/jamii-p...eautiful-tanzanian-female-celebrities-11.html
Wadau nipeni list yenu, Mimi namalizia Risechi na nitakuja kuwataja hapa vere suun. :bange::car:
Watch this space...................
Imeandikwa ''AMETUUMBA KWA MFANO WAKE''
amini amini nawaambieni Kila vazi utachaguwa icpokuwa sanda, kila nyumba
uta hama icpokuwa kaburi, kila ki2 utakwepa
icpokuwa kifo, kila cku utaijua icpokuwa cku ya kufa,
hivyo swali kabla hujaswaliwa maana yaweza kuwa
leo au kesho ukatangulia mbele ya haki 2mia hata
dkk 2 kutubu, kwani walio makaburini walikuwa kama sisi
Imeandikwa ''AMETUUMBA KWA MFANO WAKE''
amini amini nawaambieni Kila vazi utachaguwa icpokuwa sanda, kila nyumba
uta hama icpokuwa kaburi, kila ki2 utakwepa
icpokuwa kifo, kila cku utaijua icpokuwa cku ya kufa,
hivyo swali kabla hujaswaliwa maana yaweza kuwa
leo au kesho ukatangulia mbele ya haki 2mia hata
dkk 2 kutubu, kwani walio makaburini walikuwa kama sisi
hahahaaaa!!amesahau anadili na loya
kila kitu kinaenda na evidence!! Mr Rocky jipange!!