Most Beautiful JF Female

Most Beautiful JF Female

Passion Lady imekula kwako akanana mpya aliyempata kwenye sherehe za mashujaaa
Mimi nampendekeza my wife wangu ( hivi hii inakubaliwa TANMO

binamu unantaka?
we kakwambia nani amepata king'amuzi huko?
ohoooooo nitakuja huko nibanane na Dena Amsi mimi
we nipandishe hasira tu hujui mi nyamayo hamu!
 
Last edited by a moderator:

binamu unantaka?
we kakwambia nani amepata king'amuzi huko?
ohoooooo nitakuja huko nibanane na Dena Amsi mimi
we nipandishe hasira tu hujui mi nyamayo hamu!

Si ndio maana Ruttashobolwa anapata kigugumizi cha kumtaja akanana wake wa sasa ambaye alimpata kwenye sherehe ya mashujaaa
 
Last edited by a moderator:
Pacha acha tu, hapa niko kwenye Mgogoro wa nafsi kati ya huyu Nanihii na yule Nanihii ni yupi aibuke kidedea...
Anyway, time will tell

mi najua sina mpinzani
halafu nakuahidi chubuku ya mbege
endapo nitashinda kama takrima,kazi kwako!!
 
Huu ni mwendelezo wa Ile Thread ya watu8 kule Jukwaa la Picha. https://www.jamiiforums.com/jamii-p...eautiful-tanzanian-female-celebrities-11.html
Wadau nipeni list yenu, Mimi namalizia Risechi na nitakuja kuwataja hapa vere suun. :bange::car:

Watch this space...................


Imeandikwa ''AMETUUMBA KWA MFANO WAKE''
amini amini nawaambieni Kila vazi utachaguwa icpokuwa sanda, kila nyumba
uta hama icpokuwa kaburi, kila ki2 utakwepa
icpokuwa kifo, kila cku utaijua icpokuwa cku ya kufa,
hivyo swali kabla hujaswaliwa maana yaweza kuwa
leo au kesho ukatangulia mbele ya haki 2mia hata
dkk 2 kutubu, kwani walio makaburini walikuwa kama sisi
 
Imeandikwa ''AMETUUMBA KWA MFANO WAKE''
amini amini nawaambieni Kila vazi utachaguwa icpokuwa sanda, kila nyumba
uta hama icpokuwa kaburi, kila ki2 utakwepa
icpokuwa kifo, kila cku utaijua icpokuwa cku ya kufa,
hivyo swali kabla hujaswaliwa maana yaweza kuwa
leo au kesho ukatangulia mbele ya haki 2mia hata
dkk 2 kutubu, kwani walio makaburini walikuwa kama sisi

shifta, umewaza nini?
Ujue unamtisha pacha wangu Passion Lady
 
Last edited by a moderator:
Imeandikwa ''AMETUUMBA KWA MFANO WAKE''
amini amini nawaambieni Kila vazi utachaguwa icpokuwa sanda, kila nyumba
uta hama icpokuwa kaburi, kila ki2 utakwepa
icpokuwa kifo, kila cku utaijua icpokuwa cku ya kufa,
hivyo swali kabla hujaswaliwa maana yaweza kuwa
leo au kesho ukatangulia mbele ya haki 2mia hata
dkk 2 kutubu, kwani walio makaburini walikuwa kama sisi

well,,,.:focus:
 

hahahaaaa!!amesahau anadili na loya
kila kitu kinaenda na evidence!! Mr Rocky jipange!!

We Passion Lady kwani hujui kuwa maloya ndo wanaongoza kwa kuchonga mdomo na kugeuza nyeusi kuwa nyeupe
Ruttashobolwa anajua mwenyewe na hebu muulize kile kisa cha mke aliyechana kufuli la hawara lililoachwa kqene gari ila mkewe akaambiwa amechana evidence ya case ya milioni kadhaaa ndo utajua hao jamaa ni matapeli na waongo mbaya
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom