Mossad foiled 50 ISIS terror attacks in 20 countries, including Turkey

Mossad foiled 50 ISIS terror attacks in 20 countries, including Turkey

Hiki ni kigazeti na viko vingi kuna Washington post, Hawaii times n.k


Acha porojo weka link ya hiyo habari
The guardian ni gazeti kubwa sana nchini uingereza huwezi kukosa link yake ukaiweka hapa kila mtu asome upotoshaji wako
.
Na hivyo vyombo vingine vy habari wrka link zake huu ndio utakuwa uungwana na utanifunga mdomo la sivyo utakuwa na chuki zako binafsi na unastahili kubezwa.


Mzee makazi yangu ni Hawaii kwa sasa niko Alberto - Canada hivyo usizungumze vitu usivyovijua au usivyo na hakika navyo hata siku moja
niruhusu nikikuwekea hapa nimtukane mamaako nipendavyo
 
una concipiracy nyingi kuhusu israel,wanamiliki biashara kubwa ndiyo,ambazo hutoa hela kwa wagombea..lakini hawacontrol all media...ni mainstream media,sasa mitandao kama facebook na online media zinajiendesha kivyao,picha za maovu ya israel dhidi ya palestine 2014 zilipoenea mitandaoni,palizuka maandamano ulaya na biashara za wayahudi kushambuliw,na sasa kuna rise of fascism(spelling) ulaya,hawa wana chuki na wayahudi,nadhani umeona saluti ya nazi wakati wa mechi ya uingereza na bulgaria
Sorry, sipendi sana kuingilia mjadara wa Israel na mataifa mengine cause hua umejaa ushabiki Zaidi kuliko hali halisi but nilitaka tu kukwambia, mmiliki wa Facebook ni Myahudi kwa baba na mama
 
mimi ni muislam ila sio muarabu,uyahudi ni dini sio kabila
Ngoja kidog nikupeleke kwenye historia, of course nimeanza kuelewa kwanini unabishana na huyo jamaa alieko huko huko USA/Canada. Hiyo unayo sema dini sio hasa though inafanana, kihistoria, neon Myahudi/Jews limeanza hasa baada ya mfamle Suleman kufariki, huyu Suleman alipokea kijiti cha ufalme from his father David/Daudi, ni hivi, huyu bwana baada ya utawala wake Israel iligawanyika kiutawala, Waisrael waliokuwepo wakati huo hawakumpenda mlirithi wa Suleman so makabila 10 out 12 walijitenga na makao yao makuu yalihamia Samaria then makabila 2 yakabaki Yerusalem, kabila kubwa ni YUDA ambalo ndiko alikotokea Sulema, Daudi, Yesu nk na hata hawa kina Netenyahu na wenyewe ni wa kabila hilo hilo la Yuda, NENO Uyahudi linatokana hasa na YUDA, yaani Yuda kwa Kingereza ni Juda then Jews originated from Jedea, Judea ni sehemu katika taifa hilo la Israel, haipo mbali sana na Yerusalem, Yesu alikua Myahudi pia cause chimbuko lake ni hilo hilo kabila la Wayahudi so kwa kukuthibitishia kwamba Yesu Myahudi na Uyahudi sio dini kama unavyo dhani, maanake kama UYAHUDI ni fini basi Yesu asingekua kinyume nao, dini ya Wayahudi wengi ni Judaism ambayo IMANI yao kwa ukaribu sana inafanana na Wasabato tunao waona huku kwetu, walokole wa huku kwetu, kule kwao wanajiita Messianic believers ambao of course wapo wachache sana, wote hao ni Wayahudi but still wapo Wayahudi ambao hawaamini katika Mungu, mfano ni huyo mmiliki wa Facebook but pia wapo Wayahudi waislamu ndio hao ambao MOSAID huwatumia sana katika operations zao mbalimbali hapo mashariki ya kati; hivi unafahamu kwamba rais wa mwisho wa Iran kabla ya huyu na yeye kwa asili ni Myahudi? But pia ni Muislamu? Wayahudi ni habari nyingine mkuu, wamesambaa sehemu nyingi za mashariki ya kati. Jiulize swali, ilikuaje Osama Bin Laden alivyo piga pale World trade Centre hakuna Myahudi hata mmoja aliyekufa ilihali kulikua na ofisi nyingi tu za Wayahudi? Is because Osama kwenye kundi lake la kigaidi alidhani kaajiri Waislamu wa Kiarabu wenzie watupu, kumbe kuna waislamu waarabu kwa sura but ni damu kamili ya Kiyahudi na hili ndio linali lifanya hili shirika la Kijasusi pale mashariki ya kati kua ni kundi lenye information kamili dhidi yake, yaani jamaa wamejipenyeza everywhere. Hata waliochangia sana ku confirm nyumba aliokua akiishi Osama pale Pakistan walikua hao hao Mosaid wenye asili ya Kiarabu but ukweli ni Wayahudi
 
Ngoja kidog nikupeleke kwenye historia, of course nimeanza kuelewa kwanini unabishana na huyo jamaa alieko huko huko USA/Canada. Hiyo unayo sema dini sio hasa though inafanana, kihistoria, neon Myahudi/Jews limeanza hasa baada ya mfamle Suleman kufariki, huyu Suleman alipokea kijiti cha ufalme from his father David/Daudi, ni hivi, huyu bwana baada ya utawala wake Israel iligawanyika kiutawala, Waisrael waliokuwepo wakati huo hawakumpenda mlirithi wa Suleman so makabila 10 out 12 walijitenga na makao yao makuu yalihamia Samaria then makabila 2 yakabaki Yerusalem, kabila kubwa ni YUDA ambalo ndiko alikotokea Sulema, Daudi, Yesu nk na hata hawa kina Netenyahu na wenyewe ni wa kabila hilo hilo la Yuda, NENO Uyahudi linatokana hasa na YUDA, yaani Yuda kwa Kingereza ni Juda then Jews originated from Jedea, Judea ni sehemu katika taifa hilo la Israel, haipo mbali sana na Yerusalem, Yesu alikua Myahudi pia cause chimbuko lake ni hilo hilo kabila la Wayahudi so kwa kukuthibitishia kwamba Yesu Myahudi na Uyahudi sio dini kama unavyo dhani, maanake kama UYAHUDI ni fini basi Yesu asingekua kinyume nao, dini ya Wayahudi wengi ni Judaism ambayo IMANI yao kwa ukaribu sana inafanana na Wasabato tunao waona huku kwetu, walokole wa huku kwetu, kule kwao wanajiita Messianic believers ambao of course wapo wachache sana, wote hao ni Wayahudi but still wapo Wayahudi ambao hawaamini katika Mungu, mfano ni huyo mmiliki wa Facebook but pia wapo Wayahudi waislamu ndio hao ambao MOSAID huwatumia sana katika operations zao mbalimbali hapo mashariki ya kati; hivi unafahamu kwamba rais wa mwisho wa Iran kabla ya huyu na yeye kwa asili ni Myahudi? But pia ni Muislamu? Wayahudi ni habari nyingine mkuu, wamesambaa sehemu nyingi za mashariki ya kati. Jiulize swali, ilikuaje Osama Bin Laden alivyo piga pale World trade Centre hakuna Myahudi hata mmoja aliyekufa ilihali kulikua na ofisi nyingi tu za Wayahudi? Is because Osama kwenye kundi lake la kigaidi alidhani kaajiri Waislamu wa Kiarabu wenzie watupu, kumbe kuna waislamu waarabu kwa sura but ni damu kamili ya Kiyahudi na hili ndio linali lifanya hili shirika la Kijasusi pale mashariki ya kati kua ni kundi lenye information kamili dhidi yake, yaani jamaa wamejipenyeza everywhere. Hata waliochangia sana ku confirm nyumba aliokua akiishi Osama pale Pakistan walikua hao hao Mosaid wenye asili ya Kiarabu but ukweli ni Wayahudi
we jamaa umepagawa nini!!!!...uyahudi ni dini na ndio maana waisrael wana mpango wa kuifanya dini hiyo iwe kwa waisrael tu,sababu watu wengine wanaingia katika hiyo dini(waethiopia),waisrael walishapotea siku nyingi,huyo netanyahu ni mzungu tu wa ulaya mashariki,shambulio la wtc ni kazi ya ndani ya marekani,waisrael walipata fununu wakaambiana waondoke,huwezi shambulia anga la marekani kwa muda wote ule ndege zisishambuliwe
 
we jamaa umepagawa nini!!!!...uyahudi ni dini na ndio maana waisrael wana mpango wa kuifanya dini hiyo iwe kwa waisrael tu,sababu watu wengine wanaingia katika hiyo dini(waethiopia),waisrael walishapotea siku nyingi,huyo netanyahu ni mzungu tu wa ulaya mashariki,shambulio la wtc ni kazi ya ndani ya marekani,waisrael walipata fununu wakaambiana waondoke,huwezi shambulia anga la marekani kwa muda wote ule ndege zisishambuliwe
Basi sawa, as I said mwanzoni, mjadara wa Israel/Wayahudi huaga umetawaliwa na misimamo ya kidini Zaidi kuliko facts. Naishia hapo, ubishi sipendagi.
 
Uyu Cohen ni mtoto wayule gwiji jasusi wamiak ile ya 1968 mpka kunyongwa 1965 au???
 
Ngoja kidog nikupeleke kwenye historia, of course nimeanza kuelewa kwanini unabishana na huyo jamaa alieko huko huko USA/Canada. Hiyo unayo sema dini sio hasa though inafanana, kihistoria, neon Myahudi/Jews limeanza hasa baada ya mfamle Suleman kufariki, huyu Suleman alipokea kijiti cha ufalme from his father David/Daudi, ni hivi, huyu bwana baada ya utawala wake Israel iligawanyika kiutawala, Waisrael waliokuwepo wakati huo hawakumpenda mlirithi wa Suleman so makabila 10 out 12 walijitenga na makao yao makuu yalihamia Samaria then makabila 2 yakabaki Yerusalem, kabila kubwa ni YUDA ambalo ndiko alikotokea Sulema, Daudi, Yesu nk na hata hawa kina Netenyahu na wenyewe ni wa kabila hilo hilo la Yuda, NENO Uyahudi linatokana hasa na YUDA, yaani Yuda kwa Kingereza ni Juda then Jews originated from Jedea, Judea ni sehemu katika taifa hilo la Israel, haipo mbali sana na Yerusalem, Yesu alikua Myahudi pia cause chimbuko lake ni hilo hilo kabila la Wayahudi so kwa kukuthibitishia kwamba Yesu Myahudi na Uyahudi sio dini kama unavyo dhani, maanake kama UYAHUDI ni fini basi Yesu asingekua kinyume nao, dini ya Wayahudi wengi ni Judaism ambayo IMANI yao kwa ukaribu sana inafanana na Wasabato tunao waona huku kwetu, walokole wa huku kwetu, kule kwao wanajiita Messianic believers ambao of course wapo wachache sana, wote hao ni Wayahudi but still wapo Wayahudi ambao hawaamini katika Mungu, mfano ni huyo mmiliki wa Facebook but pia wapo Wayahudi waislamu ndio hao ambao MOSAID huwatumia sana katika operations zao mbalimbali hapo mashariki ya kati; hivi unafahamu kwamba rais wa mwisho wa Iran kabla ya huyu na yeye kwa asili ni Myahudi? But pia ni Muislamu? Wayahudi ni habari nyingine mkuu, wamesambaa sehemu nyingi za mashariki ya kati. Jiulize swali, ilikuaje Osama Bin Laden alivyo piga pale World trade Centre hakuna Myahudi hata mmoja aliyekufa ilihali kulikua na ofisi nyingi tu za Wayahudi? Is because Osama kwenye kundi lake la kigaidi alidhani kaajiri Waislamu wa Kiarabu wenzie watupu, kumbe kuna waislamu waarabu kwa sura but ni damu kamili ya Kiyahudi na hili ndio linali lifanya hili shirika la Kijasusi pale mashariki ya kati kua ni kundi lenye information kamili dhidi yake, yaani jamaa wamejipenyeza everywhere. Hata waliochangia sana ku confirm nyumba aliokua akiishi Osama pale Pakistan walikua hao hao Mosaid wenye asili ya Kiarabu but ukweli ni Wayahudi
Kwani hadi leo unaamini kuwa WTC ililipuliwa na Osama na washirika wake!? Na pia unaamini kuwa Osama aliuawa Pakistan kipindi kile walichotangaza!? Maybe you are kidding bro.
 
Ngoja kidog nikupeleke kwenye historia, of course nimeanza kuelewa kwanini unabishana na huyo jamaa alieko huko huko USA/Canada. Hiyo unayo sema dini sio hasa though inafanana, kihistoria, neon Myahudi/Jews limeanza hasa baada ya mfamle Suleman kufariki, huyu Suleman alipokea kijiti cha ufalme from his father David/Daudi, ni hivi, huyu bwana baada ya utawala wake Israel iligawanyika kiutawala, Waisrael waliokuwepo wakati huo hawakumpenda mlirithi wa Suleman so makabila 10 out 12 walijitenga na makao yao makuu yalihamia Samaria then makabila 2 yakabaki Yerusalem, kabila kubwa ni YUDA ambalo ndiko alikotokea Sulema, Daudi, Yesu nk na hata hawa kina Netenyahu na wenyewe ni wa kabila hilo hilo la Yuda, NENO Uyahudi linatokana hasa na YUDA, yaani Yuda kwa Kingereza ni Juda then Jews originated from Jedea, Judea ni sehemu katika taifa hilo la Israel, haipo mbali sana na Yerusalem, Yesu alikua Myahudi pia cause chimbuko lake ni hilo hilo kabila la Wayahudi so kwa kukuthibitishia kwamba Yesu Myahudi na Uyahudi sio dini kama unavyo dhani, maanake kama UYAHUDI ni fini basi Yesu asingekua kinyume nao, dini ya Wayahudi wengi ni Judaism ambayo IMANI yao kwa ukaribu sana inafanana na Wasabato tunao waona huku kwetu, walokole wa huku kwetu, kule kwao wanajiita Messianic believers ambao of course wapo wachache sana, wote hao ni Wayahudi but still wapo Wayahudi ambao hawaamini katika Mungu, mfano ni huyo mmiliki wa Facebook but pia wapo Wayahudi waislamu ndio hao ambao MOSAID huwatumia sana katika operations zao mbalimbali hapo mashariki ya kati; hivi unafahamu kwamba rais wa mwisho wa Iran kabla ya huyu na yeye kwa asili ni Myahudi? But pia ni Muislamu? Wayahudi ni habari nyingine mkuu, wamesambaa sehemu nyingi za mashariki ya kati. Jiulize swali, ilikuaje Osama Bin Laden alivyo piga pale World trade Centre hakuna Myahudi hata mmoja aliyekufa ilihali kulikua na ofisi nyingi tu za Wayahudi? Is because Osama kwenye kundi lake la kigaidi alidhani kaajiri Waislamu wa Kiarabu wenzie watupu, kumbe kuna waislamu waarabu kwa sura but ni damu kamili ya Kiyahudi na hili ndio linali lifanya hili shirika la Kijasusi pale mashariki ya kati kua ni kundi lenye information kamili dhidi yake, yaani jamaa wamejipenyeza everywhere. Hata waliochangia sana ku confirm nyumba aliokua akiishi Osama pale Pakistan walikua hao hao Mosaid wenye asili ya Kiarabu but ukweli ni Wayahudi
Watakaokuelewa ni wale watakaojivua kibanzi cha udini waelewe, Nicolasi Sacoz ni Myahudi, Abromovic, wafanya maamuzi wengi USA ni Israelite Most ulaya and USA monetary and intelligents units and interteinments and medias zinaendeshWa kwa maslahi ya yawahudu ndomana unaona Ulaya wenyeji wengi wanawachukia wayahudi kwa kujua kwamba wanawahujumu na hawana cha kuwafanya, caz jamaa wamepandikiza watu wao kila sehemu yenye maslahi na akizingua unauawa kimafia au unakuwa blackmailed

 
This is purely Israel propaganda
View attachment 1240016
Caption: Incoming Mossad director Yossi Cohen.
The Mossad and the IDF Intelligence branch prevented 50 terror attacks by ISIS and Iran in the past three years, many of them in Tukey, Channel 12 reported on Tuesday.

Twelve of the attacks were prevented in Turkey itself, which succeeded in foiling them thanks to Israeli-provided information to Turkish security services.

Relations between Israel and Turkey have been tense since 2010, when the Turkish ship Mavi Marmara attempted to break the blockade on Gaza and were intercepted by IDF forces in a violent incident that led to the death of nine of activists on board.

Turkish president Recep Tayyip Erdogan is an outspoken critic of Israel, and hasn't left out an opportunity to display his dismay of the Jewish State.

Nevertheless, according to the report, the Turkish government received the necessary intel by Israel's security service to ensure that terror attacks could be prevented on its soil.

Source: The Jerusalem Post

Israel propaganda, who does not know that actually ISIS were created by Mossad and CIA these Intelligence agencies were main financier of this terrorist gang - it thrived under CIA and Mossads watch - they can't fool a nobody.

The truth of the matter is: ISIS terrorists were tamed by a no nonsense Russian Army, Syrian Army, Hezibolla and Iran - Israel were fast asleep awaiting Assad's regime to fall under the pressure of ISIS.
 
Israel anafanya lobying (sina hakika kama spelling ni sahihi) kwa wanasiasa wa US, akitumia pia main stream media, kwa sasa kipindi cha internet anapata tabu sana kudhibiti habari za ukweli wake. Vijana wameanza kujenga chuki dhidi ya israel, hivyo baadaye kupoteza ushawishi kwa viongozi wa US, na hivyo kuhatarisha taifa la Israel. US anapomnyamazia Israel si kwamba hana cha kumfanya ila anaangalia faida kuu ya kumtumia Israel kwa maslahi yake.

What a brilliant analytical mind? Be blessed.
 
Back
Top Bottom