Ngoja kidog nikupeleke kwenye historia, of course nimeanza kuelewa kwanini unabishana na huyo jamaa alieko huko huko USA/Canada. Hiyo unayo sema dini sio hasa though inafanana, kihistoria, neon Myahudi/Jews limeanza hasa baada ya mfamle Suleman kufariki, huyu Suleman alipokea kijiti cha ufalme from his father David/Daudi, ni hivi, huyu bwana baada ya utawala wake Israel iligawanyika kiutawala, Waisrael waliokuwepo wakati huo hawakumpenda mlirithi wa Suleman so makabila 10 out 12 walijitenga na makao yao makuu yalihamia Samaria then makabila 2 yakabaki Yerusalem, kabila kubwa ni YUDA ambalo ndiko alikotokea Sulema, Daudi, Yesu nk na hata hawa kina Netenyahu na wenyewe ni wa kabila hilo hilo la Yuda, NENO Uyahudi linatokana hasa na YUDA, yaani Yuda kwa Kingereza ni Juda then Jews originated from Jedea, Judea ni sehemu katika taifa hilo la Israel, haipo mbali sana na Yerusalem, Yesu alikua Myahudi pia cause chimbuko lake ni hilo hilo kabila la Wayahudi so kwa kukuthibitishia kwamba Yesu Myahudi na Uyahudi sio dini kama unavyo dhani, maanake kama UYAHUDI ni fini basi Yesu asingekua kinyume nao, dini ya Wayahudi wengi ni Judaism ambayo IMANI yao kwa ukaribu sana inafanana na Wasabato tunao waona huku kwetu, walokole wa huku kwetu, kule kwao wanajiita Messianic believers ambao of course wapo wachache sana, wote hao ni Wayahudi but still wapo Wayahudi ambao hawaamini katika Mungu, mfano ni huyo mmiliki wa Facebook but pia wapo Wayahudi waislamu ndio hao ambao MOSAID huwatumia sana katika operations zao mbalimbali hapo mashariki ya kati; hivi unafahamu kwamba rais wa mwisho wa Iran kabla ya huyu na yeye kwa asili ni Myahudi? But pia ni Muislamu? Wayahudi ni habari nyingine mkuu, wamesambaa sehemu nyingi za mashariki ya kati. Jiulize swali, ilikuaje Osama Bin Laden alivyo piga pale World trade Centre hakuna Myahudi hata mmoja aliyekufa ilihali kulikua na ofisi nyingi tu za Wayahudi? Is because Osama kwenye kundi lake la kigaidi alidhani kaajiri Waislamu wa Kiarabu wenzie watupu, kumbe kuna waislamu waarabu kwa sura but ni damu kamili ya Kiyahudi na hili ndio linali lifanya hili shirika la Kijasusi pale mashariki ya kati kua ni kundi lenye information kamili dhidi yake, yaani jamaa wamejipenyeza everywhere. Hata waliochangia sana ku confirm nyumba aliokua akiishi Osama pale Pakistan walikua hao hao Mosaid wenye asili ya Kiarabu but ukweli ni Wayahudi