Moshi: Mstaafu wa Polisi ajinyonga baada ya mke wake kuuza nyumba na mali nyingine

Kuweni makini makini na hati zenu za nyumba.. wanawake huwa hawawazi kesho, wanawaza Leo tuu kama kuna solution ya kukopa au kuuza Mali kusolve tatizo la Mda mfupi kwao huwa ni rahisi kuuza kuliko kuvumilia..

Lakini pia labda aliuza kwaajili ya matibabu ya mzee..
 
Arusha
Mbeya
Kilimanjaro(Moshi)
Mtwara
Dar
...
...
...
 
Mali iliyovunwa kwenye ndoa, ikiuzwa ni lazima wote wawili washirikishwe, imekuwaje ?
 
Omba Mungu yasikukute.
Kuna mtu alioneshwa mpaka kaburi hewa akatoa hela kesho anapeleka tofali anaambiwa mbona hapa hapajauzwa.keshatapeliwa.
Mke anauzaje nyumba ya mume wake ama nyumba ya pamoja?

Nyumba sio nyanya iuzwe bila mashahidi wala majirani
 
Kama umesha conclude kwamba KAJINYONGA uchunguzi unaendelea wa nini ????

Aseme uchunguzi unaendelea kuthibitisha kweli kajinyonga. You have no freaking clue kwamba kajinyonga. Una waste government resources kuchunguza kwa nini kajinyonga, ili iweje, umkamate aliyemkera ????

Third world police, incompetent, untrained, unaccountable pinheads. Waziri Simbachamwene kasema polisi anafaa ambae hajaenda shule. Ili waweze kuwatumia kulinda tabaka tawala, kupora na kuua wafanyabiashara.
 
NAONA SASA NI ZAM YA WANAWAKE
KUTUNYOOSHA πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

ova
 
Vitu vyote hivyo vinauzwa mzee taarifa hata kutoka kwa watoto hana duh
Ila kama mzee alikua kauzu watoto wakawa upande wa mama yao balaa ndio hili sasa
Mauaji ss ni kila pembe nchi hii
 
Ha ha ha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…