MOSHI: Mji uliosheheni walaji wa 'kitimoto'

Mathayo 15 : 11

Sio kile kiingiacho kinywani chamtia mtu unajisi bali kimtokacho kinywani.

Una uelewa wa kuelewa au hujaelewa?
KWA HYO HIZO AYA ZA WALAWI ZIMETUNGWA?
 
mda wa watu wa kaskazini ushafika.nakuona
 
Na wewe una sapoti hoja yake dhaifu.
KWANI WATANZANIA MNA BIBLIA YENU TOFAUTI NA ILE ILIYOKUWEPO KIPINDI CHA WALAWI?
Hebu kuwa muelewa:

Kwani jamaa hapo amezungumzia BIBLIA waliyoandikiwa wana wa Lawi au AGIZO?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…