..duh..kumbe!Hizo ni athari za kimbunga IDAI kilichoipiga Msumbiji na kuua mamia ya watu hivi majuzi. Inatabiriwa kaskazini mwa Tanzania na Kenya hali hiyo itadumu muda mrefu na kutakuwepo ukame wa muda mrefu. Tujipange.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, ngoja waje wenye Moshi yao ujiandae kwa povuAisee moshi kuna joto balaa yaani sijui nisemeje mchana ndani wala nje hapakaliki huko milimani ndo usiseme
mungu wangu heri hata dsm ila sio kwa joto jili la.moshi aisee maana si usiku wala si mchana.
Yote tisa Dar na Tanga hali ni mbaya zaidi..
Kweli asee Ifakara ni balaa, nilikaa wiki moja niliteseka sana. Kule ni shimoni.Bora huko mayb ..kiboko ya joto la ajabu ova upo kwenye handaki ni Ifakara kule sijajua watu wanasurvive vipi alafu hakuna upepo kumetulia tuliii...inakera sana.
Kweli asee Ifakara ni balaa, nilikaa wiki moja niliteseka sana. Kule ni shimoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena umenikumbusha mkuu juzi umeme ulikata saa saba usiku nilishituka kama natoka kuzimu kwa maji yaliyonimwagika mwilini. Nilitamani kuwafata Tanesco niwatukane.
BBC imeripoti vifo vya watu Kenya kutokana na njaa. Aidha serikali ilikanusha na kusema ni vifo vya wanyama tuu.Hizo ni athari za kimbunga IDAI kilichoipiga Msumbiji na kuua mamia ya watu hivi majuzi. Inatabiriwa kaskazini mwa Tanzania na Kenya hali hiyo itadumu muda mrefu na kutakuwepo ukame wa muda mrefu. Tujipange.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena umenikumbusha mkuu juzi umeme ulikata saa saba usiku nilishituka kama natoka kuzimu kwa maji yaliyonimwagika mwilini. Nilitamani kuwafata Tanesco niwatukane.
]Kupata hakuna kudogo
Dar kuna joto balaa kama umezoea kiyoyozi cha ofisin subiri utoke nje ndio utaanza kujua umuhimu wa kazi ni zaidi ya mshahara halaf ufike home umeme ukatike.