Hali ya Joto kali zaidi Dar es Salaam (Excessive heat) unakabiliana nayo aje?

manto

Member
Mar 9, 2016
56
43
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na joto kali sana lililopitiliza ndani hakukaliki wala nje. Wataalam wa hali ya hewa wanasema Dar ina excessive heat, 76% humidity na joto linakadiriwa kuwa 35c na hapo kukiwa na hadha ya kukatika umeme usiku na mchana. Tunashauriwa kwa siku atleast unywe lita moja ya maji kupunguza kadhia hii kiafya. Haya wenzangu unapambana na joto namna gani?
IMG_9319.jpg
 
Poleni sana mandugu digitals!Vumilieni msihame mkaliacha jiji pweke na kushindwa kukusanya kodi,ushuru na tozo kwa niaba yetu Wateezee.Fuateni ushauri wa kitaalamu ili muenende kadiri ya matakwa ya joto.
 
Hivi hamna tech ya kujenga nyumba ya tiles full kuanzia floor, ukuta hadi paa. Hua naona hata kuwe na joto kiasi gani ndani ukilaalia kigae ni cha baridi. Hii inaweza kusaidia wakazi wa maeneo ya joto
 
Back
Top Bottom