Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,402
- 79,643
Povu kwaajili gani?Duh, ngoja waje wenye Moshi yao ujiandae kwa povu
Povu kwaajili gani?Duh, ngoja waje wenye Moshi yao ujiandae kwa povu
mipunga Safari hii sijui itakuwaje.Bora huko mayb ..kiboko ya joto la ajabu ova upo kwenye handaki ni Ifakara kule sijajua watu wanasurvive vipi alafu hakuna upepo kumetulia tuliii...inakera sana.
Likizidi nenda migombani kule ipo Baridi. Dar maji ya bomba ya moto kama yamechemshwa na hita. Hii ni adhari za uchafuzi wa mazingira duniani. Baridi kupindukia, tornado,hurricanes,heat waves, mafuriko,ukame nk ndiyo matokeo yakeAisee moshi kuna joto balaa yaani sijui nisemeje mchana ndani wala nje hapakaliki huko milimani ndo usiseme
mungu wangu heri hata dsm ila sio kwa joto jili la.moshi aisee maana si usiku wala si mchana.
mipunga Safari hii sijui itakuwaje.
Dar haifikii Moshi kwa joto. Moshi kuna joto kali sana.....Yote tisa Dar na Tanga hali ni mbaya zaidi..
Tanga ni joto aisee mchana jua ni kali mnoYote tisa Dar na Tanga hali ni mbaya zaidi..
Picha tafadhali.....Moro town jua ni kali balaa! Mpaka sasa walima mahindi, mpunga, nyanya, mbogamboga hali ni mbaya kwelikweli!
Pana zidi dar!!??Bora huko mayb ..kiboko ya joto la ajabu ova upo kwenye handaki ni Ifakara kule sijajua watu wanasurvive vipi alafu hakuna upepo kumetulia tuliii...inakera sana.
Pana zidi dar!!??