Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
ila.ajabu kwingine inanyesha vzrBasi hili joto litakuwa la nchi nzima
ila.ajabu kwingine inanyesha vzrBasi hili joto litakuwa la nchi nzima
Mwisho wa dunia umekaribia,uzeni vitu vyenu tungojee siku ya kuchukuliwa
ha ha ha kwa nini😂😂😂😂😂 ww huenda màsalia
umesema tuuze mali zetu zote tumsubirieha ha ha kwa nini
Ifakara huwa pana joto balaa, ndio joto pekee lilonitoaga vipele vya joto.Bora huko mayb ..kiboko ya joto la ajabu ova upo kwenye handaki ni Ifakara kule sijajua watu wanasurvive vipi alafu hakuna upepo kumetulia tuliii...inakera sana.
ha ha ha wewe hutaki kusubiri,kwa sababu tuko kwenye ovenumesema tuuze mali zetu zote tumsubirie
AiseeHizo ni athari za kimbunga IDAI kilichoipiga Msumbiji na kuua mamia ya watu hivi majuzi. Inatabiriwa kaskazini mwa Tanzania na Kenya hali hiyo itadumu muda mrefu na kutakuwepo ukame wa muda mrefu. Tujipange.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maeneo yote ya mikoa ya pwani hapa kaliki .... jana nilikuwa bagamoyo aise ni disasterYote tisa Dar na Tanga hali ni mbaya zaidi..
Na bado serikali ina tarajia kukata mamilion ya miti inayo patikana katika mbuga ya selous ..kwa minajili ya kupisha mradi wa umeme wa striglers gorge ...Hakuna mawasiliano kati ya binadamu na hali ya hewa ila hiyo ni taarifa kuna jambo liko njiani.
Kiukweli moshi haitakiwi kuizidi Dar kwa joto ila nowdays unaona moshi inafika nyuzi joto 36 na Dar inafikia 34• hapo lazima uwaze kuna nini.
Laiti mazingira yangekuwa yanasema basi kesho ingetoa taarifa, but imebaki siri na kwetu Afrika mpaka litokee ndiyo tunaongea...
HahaaKama hapa nilipo sasa hivi saa 17:12 nimevua kila kitu na feni inazunguka ili zile naniliu zipowe maana zile gololi mbili zimefyuzi ikawa moja kudadadeki
Sent using Jamii Forums mobile app
Duhh mpaka huko kunapo sifika kwa kuwa na baridiBasi itakua hili joto ni nchi nzima nipo maeneo ya iringa mjini hapa napo hali ni joto usiku na mchana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee Moshi kuna joto balaa yaani sijui nisemeje mchana ndani wala nje hapakaliki huko milimani ndo usiseme
Mungu wangu heri hata Dsm ila sio kwa joto jili la Moshi aisee maana si usiku wala si mchana.
Nyinyi wakishuani oyster bay huu uzi hauwahusu .... sasa wewe unaishi karibu na Coco beach hilo fukuto utalisikia wapi ?dar cha mtoto..nipo dar...mayb area zingine..nilipo mm upepo nausikia sana tu...dar hapaingii ht robo
Mleta uzi sijui hapa anaizungumzia moshi IPIVipi theluji kwenye mlima ipo bado au Wakenya wameiba?
Yes, hili joto ni nchi nzima maana Kigoma hapakaliki kabisa, joto kama Jehanamu! Nilidhani ni Kigoma na Dar tu lkn sasa napata picha tofauti.Basi itakua hili joto ni nchi nzima nipo maeneo ya iringa mjini hapa napo hali ni joto usiku na mchana.
Sent using Jamii Forums mobile app