Morsi killed by El-Sisi Regime

Morsi killed by El-Sisi Regime

Mbona hawakimbilii pia mataifa ya bara China km Japan na China au Singapore,Malaysia na Indonesia ambazo ni nchi zinazokua kiuchumi na kijamii na wala hautoki maskin ukiingia humo?!
Ni wao tyuu na iman zao baadhi yao.
Umesema "Kuna baadhi ya wakimbizi wa kiarabu au kisomali hta wa kiBantu wanaamin wakiingia mataifa ya ulaya wataweza kupata maisha ya utajiri kiharaka na kuishi vema."

Kwanini wasikimbilie kwa waarabu wenzao wakapate hayo maisha mazuri huku wakiwa chini ya utawala wa Sharia mkuu?
 
Hakuna cha Jewish propaganda
Kama ardhi ya Kanaani aliahidiwa Abrahamu
Mbona hakupewa ismail
Mbona hakupewa Esau
Kwa nini apewe Isaka then Yakobo
ACHA kukaza kichwa, i repeat
Jibu hoja acha kukimbilia matusi.... Hiyo statement hakupewa Abraham?? Je kwanini una fanya exceptions zako kuwa inamhusu Yakobo tu?? ni wapi waliposema hizo baraka za Abraham zinaenda kwa mtu mmoja tu na sio KIZAZI CHOTE cha Abraham??

Leta hiyo statement hapa otherwise acha jewish propaganda.....
 
Hakuna cha Jewish propaganda
Kama ardhi ya Kanaani aliahidiwa Abrahamu
Mbona hakupewa ismail
Mbona hakupewa Esau
Kwa nini apewe Isaka then Yakobo
ACHA kukaza kichwa, i repeat
We jamaa shida husomi maandiko..... Abraham aliahidiwa ardhi kuanzia River Nile misri mpaka Mto Euphrates Huko Iraq/Syria sasa unaweza niambia alipoenda kukaa Ismael na uzao wake au Edomites hawakuishi ndani ya eneo hilo??Abraham hakuhaidiwa Canaan tu bali hadi Iraq sasa jiulize kama yakobo alibaki hapo Judaeah.... Huko Iraq,syria,Jordan n.k alienda kuishi nani ili kutimiza ahadi kwa Abraham??

Mipaka ya ahadi ya Abraham
Exodus 23:31
“I will establish your borders from the Red Sea to the Mediterranean Sea, and from the desert(Egypt) to the Euphrates River.

Ukimaliza kusoma niambie ni lini wayahudi wamewahi kuishi mto Euphrates?? Je nani alitimiza huo unabii sasa??
 
Wapo wanaozamia Falme za kiarabu na Morocco ndugu.
Japo sio wengi saana.
Ila hao ni fikra zao huwez zibadilisha.
Mm nina fikra kuwa ningeishi uarabuni ningemilikishwa visima vya mafuta nikawa rich.
Ww una fikra ukizamia UK ume win.
Tuko different mkuu.
Nadhani psychology umesoma.
Kwanini wasikimbilie Qatar,UAE na Saud Arabia kwenye maziwa na asali pia kwenye ndugu zao wengi pamoja na tamaduni moja?
 
...hizo nchi tajiri za ghuba zimechangia sana kuivuruga Syria,Yemen hatari sana hao jamaa.
Kweli mkuu.Maana MMAREKANI amekuwa akimtumia mwarabu kumteketeza mwarabu mwenzake.
Aisee hata sijui wapi pana usalama.
 
Back
Top Bottom