sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,045
Hakika hii ni pumzi ya moto wanayohemewa Simba.
Mwenye Nguvu mpishe tu.
Walianza na Azizi Ki kwa ofa ya kibahili wakapigwa kanzu na Yanga kwenye kitita.
Walitaka kumkomoa Morrison kwa kumpunguzia mshahara na kumnyima release letter ila wakili msomi kawaumbua.
Mwenye Nguvu mpishe tu.
Walianza na Azizi Ki kwa ofa ya kibahili wakapigwa kanzu na Yanga kwenye kitita.
Walitaka kumkomoa Morrison kwa kumpunguzia mshahara na kumnyima release letter ila wakili msomi kawaumbua.