misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,659
- 9,367
HahahaNdio tupo Immigration hapa tunashughulikia Swala la Uraia wa Morrison. tumefika kipengele cha Kujaza Kabila ungependekeza tumpe Kabila gani?.
HahahaNdio tupo Immigration hapa tunashughulikia Swala la Uraia wa Morrison. tumefika kipengele cha Kujaza Kabila ungependekeza tumpe Kabila gani?.
Kawaumbuaje?Hakika hii ni pumzi ya moto wanayohemewa Simba.
Mwenye Nguvu mpishe tu.
Walianza na Azizi Ki kwa ofa ya kibahili wakapigwa kanzu na Yanga kwenye kitita.
Walitaka kumkomoa Morrison kwa kumpunguzia mshahara na kumnyima release letter ila wakili msomi kawaumbua.
Naona utopolo wako kama nyumba ndogo wanapenda kila anachopewa mke mkubwa nao wapewe haya tumewapa huyoooo benaaaaad mumchetue.Luc aliposema wanayanga ni mbwa hakukosea kabisa
.Jitahidi uwe mtu anayetumia AKILI. Unapewaje releasing letter wakati mkataba haujaisha.
Angepewa barua Nani Angelipa gharama za kuvunja mkataba. Morrison alitaka apewe barua HALAFU afungue kesi ya madai ya kumvunjia mkataba.
Unadhani Simba Wana AKILI oya oya km za kwako. Morrison ameondoka akiwa mchezaji huru.
Kwann wampunguzie mshahara , Ni kwa sababu Simba ilikuwa haimhitaji Tena.
Btw hakuna utopolo mwenye ajili.
Duuuh!!! Mnamwaibisha mheshimiwa.Hakika hii ni pumzi ya moto wanayohemewa Simba.
Mwenye Nguvu mpishe tu.
Walianza na Azizi Ki kwa ofa ya kibahili wakapigwa kanzu na Yanga kwenye kitita.
Walitaka kumkomoa Morrison kwa kumpunguzia mshahara na kumnyima release letter ila wakili msomi kawaumbua.
Aliwaweka uto la katiWakili msomi vipi kesi iliishaje cas
Chizi aliwakimbiza na bisibisi machizi wenzake. Chezea chizi morisoni wewe.Aliwaweka uto la kati
onyango +inonga watavuta pumzi pilipiliTarehe 13agust ndo itajulikana Nani mkubwa wa umri na ninani mkubwa wa mafanikio #simbanguvumoja