Morogoro - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

Wale Waruguru wana mwabudu Abood yaani Ogopa jamaa ni kama Mungu, na Umasiki wao wote ila poa tu

Abood si mbunge bali mfadhili. Kikubwa anachofanya ni kuwapa laki 2 2 kina mama wanaoanzinzisha vicoba na bus la kwenda kuzikia kama mkifiwa. Zaidi ya hapo hospital haina madawa, mjini maji shida japo kuwa mkoa unavyanzo vya maji wanayokunywa wana Dar es Salaam.

Waluguru ni watu tofauti sana, wana akili fupi kama vimo vyao.
 
Abood si mbunge bali mfadhili. Kikubwa anachofanya ni kuwapa laki 2 2 kina mama wanaoanzinzisha vicoba na bus la kwenda kuzikia kama mkifiwa. Zaidi ya hapo hospital haina madawa, mjini maji shida japo kuwa mkoa unavyanzo vya maji wanayokunywa wana Dar es Salaam.

Waluguru ni watu tofauti sana, wana akili fupi kama vimo vyao.

​Mkuu Kuna Mikoa Imelaaniwa Siyo Bure.
 
​Mkuu Kuna Mikoa Imelaaniwa Siyo Bure.

Ila nimefurahi kwamba kata ninayofanyia shughuli zangu kata ya Nyandila wilaya ya Mgeta Ukawa wamechukua ila zaidi ya hapo namuona Murad Sadiq Kurudi tena ubunge Mvomero. Sadiq ambaye mwanzoni alitawala kwa miaka 13 bila manufaa yoyote kwa wananchi. Mgeta hakuna barabara, huduma za afya wala elimu. Watu wanatembea km mpaka 20 kufuata huduma za kijamii. Nauli za magari ya abiria ni kubwa sana kwa sababu ya barabara. Ila waluguru wanamrudisha tena kutokana na ufinyu wa kufikiria kwao.
 
Ujinga ndio mtaji wao CCM.

Ni zaidi ya mtaji mkuu, yaani unaweza kuwapiga makofi ukiwa na hasira.

Kutokana hali ngumu walizokuwa nazo walipashwa kuwa watu wa kwanza kutaka mabiliko. Imagine wanalipa nauli shs 4500 kwa kama 35. Kwa distance hiyo dar nauli ni kama shs 800 tu. Ila kutokana na ubovu wa barabara inabidi walipe tu.
 
I thought ingekuwepo thread moja yenye matokeo ya nchi nzima. Hii ya mikoa yenyewe iko mingi si itasumbua sana?
Ni jambo la ajabu sana kuwa hakuna anayetoa matukio kila mtu katishwa, hata Jamii forums tangu jana ni kituko kabisa na mimi najitoa, ni lazima vijana wengine waanzishe huduma hii, labda tukajaribu kwa Ayo kwa kuwa kina maxence tayari wameshahongwa, its very sad kwa blog ambayo tulii support hata wakati wanashughulikiwa na sserikali leo kwa vishilingi vidogo tu wametusaliti, yaani jamii forums for once hawana watu vituoni, na system yenyewe iko down throughout, if you could be active this time then why do we need, nawatukana matusi yote mnayoyajua na msiyoyajua, i I HATE WASALITI, I HATE YOU SO MUCH
 
Ila nimefurahi kwamba kata ninayofanyia shughuli zangu kata ya Nyandila wilaya ya Mgeta Ukawa wamechukua ila zaidi ya hapo namuona Murad Sadiq Kurudi tena ubunge Mvomero. Sadiq ambaye mwanzoni alitawala kwa miaka 13 bila manufaa yoyote kwa wananchi. Mgeta hakuna barabara, huduma za afya wala elimu. Watu wanatembea km mpaka 20 kufuata huduma za kijamii. Nauli za magari ya abiria ni kubwa sana kwa sababu ya barabara. Ila waluguru wanamrudisha tena kutokana na ufinyu wa kufikiria kwao.
bora ya yeye kuliko amosi
 
bora ya yeye kuliko amosi

Wote wale wale, Amos Makala kuna sehemu inaitwa Langali ame establish ofisi ya mbunge, huwezi amini tangu ofisi hiyo ifunguliwe hadi inafungwa juzi hajawahi ku step in kuja kusikiliza hoja za wananchi. He was the worst MP kwa Mvomemoro. Ila Sadiq ni zaid kwa Sababu kakaa 13 yrs hakuna kitu
 
Abood si mbunge bali mfadhili. Kikubwa anachofanya ni kuwapa laki 2 2 kina mama wanaoanzinzisha vicoba na bus la kwenda kuzikia kama mkifiwa. Zaidi ya hapo hospital haina madawa, mjini maji shida japo kuwa mkoa unavyanzo vya maji wanayokunywa wana Dar es Salaam.

Waluguru ni watu tofauti sana, wana akili fupi kama vimo vyao.
Hahaha daaah..!!,
 
Ni jambo la ajabu sana kuwa hakuna anayetoa matukio kila mtu katishwa, hata Jamii forums tangu jana ni kituko kabisa na mimi najitoa, ni lazima vijana wengine waanzishe huduma hii, labda tukajaribu kwa Ayo kwa kuwa kina maxence tayari wameshahongwa, its very sad kwa blog ambayo tulii support hata wakati wanashughulikiwa na sserikali leo kwa vishilingi vidogo tu wametusaliti, yaani jamii forums for once hawana watu vituoni, na system yenyewe iko down throughout, if you could be active this time then why do we need, nawatukana matusi yote mnayoyajua na msiyoyajua, i I HATE WASALITI, I HATE YOU SO MUCH

Ukitaka kucheka nenda kaangalie Star TV wale ndio wamepanic ile mbaya, eti wanasema vituo vingine wanatangaza matokeo bila idhini ya tume, bila kujua matokeo yanayotangazwa na vituo vingine ni yale yaliyobandikwa nje ya vituo vya kura baada ya kuthibitishwa lakini kazi ya kutangaza msshindi wa jumla wa kituo husika ni kadhi ya mkurugenzi/tume. Na kinachowapa shida ni aina ya siasa chafu waliyoiendesha kipindi chote cha kampeni dhidi ya upinzani. Aibu imewafika. Sasa ngoja ccm wakae kikao chao asubuhi ya leo uone maamuzi ya kutaka kuliingiza taifa letu kwenye machafuko. Nakuhakikishia kuanzia muda huu mwenyekiti wa tume atajikuta kwenye mashinikizo ya ajabu. chezea magari 777 ya polisi kwa umma ulioichoka ccm?
 
Ni zaidi ya mtaji mkuu, yaani unaweza kuwapiga makofi ukiwa na hasira.

Kutokana hali ngumu walizokuwa nazo walipashwa kuwa watu wa kwanza kutaka mabiliko. Imagine wanalipa nauli shs 4500 kwa kama 35. Kwa distance hiyo dar nauli ni kama shs 800 tu. Ila kutokana na ubovu wa barabara inabidi walipe tu.

Kama una ndugu huko sitisha misaada hadi wapate akili.
 
Hahaha daaah..!!,

Mkuu utadhani labda nna chuki binafsi nao au nini. Ila ukipata nafasi ya kwenda Moro waulize wakazi nini ambacho Abood kafanya??

Utasikia anasaidia kina Mama Vicoba, mkifiwa anawapa bus kwenda kuzikia na akipita jirani na kijiwe chenu mkimwita anasimama na kuwa elfu 5 5. Zaidi ya hapo hamna kitu.

Kidatu ipo Moro, ila moro haina umeme.
Udzungwa, wami na Ruvu mito yote hiyo vyanzo vyake viko moro ila Mji hauna maji hata tone. Sasa hapo utasema nini?
 
Mm nawasikitikia sana waruguru ni wapuuzi sana nilikua nasimamia uchaguzi nikashangaa diwani waliekuwa wanamchukia kutokana na kutoshughulikia tatizo la mgogoro wa wakulima na wafugaji ndio uyo waliomchafua aisee kuna watu ni wajinga
 
Chadema sidhani kama wanaweza kupata hata jimbo moja morogoro, sijajua mikumi
 
Mkuu utadhani labda nna chuki binafsi nao au nini. Ila ukipata nafasi ya kwenda Moro waulize wakazi nini ambacho Abood kafanya??

Utasikia anasaidia kina Mama Vicoba, mkifiwa anawapa bus kwenda kuzikia na akipita jirani na kijiwe chenu mkimwita anasimama na kuwa elfu 5 5. Zaidi ya hapo hamna kitu.

Kidatu ipo Moro, ila moro haina umeme.
Udzungwa, wami na Ruvu mito yote hiyo vyanzo vyake viko moro ila Mji hauna maji hata tone. Sasa hapo utasema nini?
Mkuu nimecheka hapo uliposema wana akili kama vimo vyao......
BTW huo mkoa watu wake kama ilivyoasili yao ni wabishi...na waking'ang'ania kitu ujue ndio nitolee. Ngoja waendelee kupata haki yao...
 
Back
Top Bottom