Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,642
- 18,643
Mi niko Tuliani kata ya madizini na tayari nimeisha fanya yangu tatizo ambalo linanitatiza ni kutaka ufafanuzi kuhusu hili:
Mwenye haki ya kukunja kiratasi baada ya kupiga kura ni nani? Je ni Mimi mwenyewe au nakunjiwa na karani alienipa karatasi hizo??
Ni wew mwenyewe unaikunja na kuidondoshea kwenye kisanduka huyo karani kazi yake ni kukuelekeza tu pale unapokwama! and not therwise
Last edited by a moderator: