Morogoro: Gari lafeli breki na kuingia ndani ya benki

Morogoro: Gari lafeli breki na kuingia ndani ya benki

ndo maana bunge lilitaka viroba vipigwe marufuku

Wakati huo huo wanapiga kelele kuongeza mapato,
Full of contradiction, wanadhani wahindi wauza boxer ndo wanalipa kodi kumbe wamejigundulia wana EFD mbili mbili fake inayodeal na 5 to 9 Digits na genuine inayolink na TRA ambayo yenyewe ni kwa 2-4 Digits. Chezea....! Poor planning, poor monitoring, Poor Revenue Collection!
 
Mh,yangu macho,haijapigwa issue hapo ya ujenzi watu wale chao?
Maaana uelekeo wa gari na kuingia hao mbona naona haivjakaa vizuri.
Najua kwamba gari ya Automatic ikifeli break kuna njia ya kusave the same to Manual Cars.

Sasa hapo ilikuwaje
Suribi uletewe invoive ya ujenzi wa hicho kisehem ndio uone balaa,nchi hii watu kwakupiga dili wananjia nyingi sana
 
Wakati tukio linatokea nilikuwa ndani ya benki, uzuri hakukuwa na watu wengi ndani ila wachache tuliokuwemo ilikuwa mshike mshike, ajali haina kinga

ram unafanya kazi kwenye hiyo branch? Tufahamiane basi uwe unanisaidia kwenye zile "que" ndefu mkuu!
 
tukio hilo limetokea leo katika benki ya crdb morogoro mjini baada ya gari aina ya prado kuacha njia baada ya brake kushindwa kufanya kazi na kuvamia ukuta wa kioo wa benki hyo na kuingia hadi ndani
mambali vipi kuhusu swala la usalama kwa raia hapo?
 
Last edited by a moderator:
mambali vipi kuhusu swala la usalama kwa raia hapo?

hakuna majeruhi ya aina yoyote mbalu zaidi ya uharibifu mkubwa kwan wakati tukio linatokea kulikuwa hamna watu ndani zaidi ya wafanyakazi
 
Last edited by a moderator:
hakuna majeruhi ya aina yoyote mbalu zaidi ya uharibifu mkubwa kwan wakati tukio linatokea kulikuwa hamna watu ndani zaidi ya wafanyakazi

Asante kwa taarifa mkuu.
 
Ni jambo la kawaida jamani kikubwa tumshukuru Jah kama hamna aliepoteza maisha na viungo vyake.
 
Inaonekana atm iligomakutoa hela mama akaamua kuingiza gari kabisa
 
Back
Top Bottom