Morogoro: Gari lafeli breki na kuingia ndani ya benki

Morogoro: Gari lafeli breki na kuingia ndani ya benki

mambali

Senior Member
Joined
Oct 16, 2012
Posts
170
Reaction score
64
Tukio hilo limetokea leo katika benki ya CRDB Morogoro mjini baada ya gari aina ya Prado kuacha njia baada ya brake kushindwa kufanya kazi na kuvamia ukuta wa kioo wa benki hiyo na kuingia hadi ndani.

attachment.php
 

Attachments

  • crdb ajali.jpg
    crdb ajali.jpg
    28.2 KB · Views: 1,539
Hali ilikuwaje humo ndani, poleni mlioathirika kwa namna moja au nyingine
 
Gari iliyonunuliwa kwa mkopo toka SIARADIBII yaparamia mtoa hela!
 
haa ilikuwaje maana napafamu pale benki kana bariers na msingi wa baraza uko juu, lkn pia akitokea wapi kwa kuwa hiyo packing haina mita mita kumi lazima uingie kwa kukata kona, pia kutokea barabarani lazima ukate kona ya 90 degrees ambayo hakuna zaidi ya mita 30. hiyo spidi ilikwaje!??? naiuliza ngoja niende nikashudie
 
Ndiyo maana kila siku magufuli anasema hifadhi ya barabara iheshimiwe majengo yawe mbali.
 
Bima watalipa kotekote,,,

Ila siamini break ya Prado ilivyo tamu namna ile ishindwe kukamata hata uingie bank, hapo either mwendo au kiwango cha uendeshaji.
 
Aisee huyo mangi hakufanikiwa kuchukua kidogo hapo ? au huu ndio wizi mpya umeingia tz kwa watu kuingia na prado kabisa ?
 
Naomba kujua spacing ya hizo mark post naona prado imezipita kama mpira unaingia golini. Anyway, zimechimbiwa chini kiasi gani pia, mlioko hapo morogoro tafadhali.
 
Bima watalipa kotekote,,,

Ila siamini break ya Prado ilivyo tamu namna ile ishindwe kukamata hata uingie bank, hapo either mwendo au kiwango cha uendeshaji.

Yawezekana dereva badala ya kukanyaga break yeye akakanyaga mafuta.
 
ndo maana bunge lilitaka viroba vipigwe marufuku
 
Back
Top Bottom