tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,423
Acha uongo ajali imetokea SAA 8:20. am mteja gani anakuwa ndani ya bank mda huo???
Taarifa ya branch director umeiona??
Too low!!!
Acha kupaniki kaka...ni wapi kataja kuwa kulikuwa na wateja...kasema yy alikuwemo ndani na wachache walokuwemo...MEANING anaweza akawa anaongelea yeye na staff wenzie...au humo bank wanafanya kazi maroboti...na wanalipoti kazini saa 3....WACHACHE WALOKUWEPO....tafakari hiyo sentensi