Morogoro: Gari lafeli breki na kuingia ndani ya benki

Morogoro: Gari lafeli breki na kuingia ndani ya benki

Duh! Hapo wabongo lazima wapate sababu 'nimepoteza mil 5' kumbe alikuja kuangalia mshahara wa laki 2 kama umeingia
 
tukio hilo limetokea leo katika benki ya crdb morogoro mjini baada ya gari aina ya prado kuacha njia baada ya brake kushindwa kufanya kazi na kuvamia ukuta wa kioo wa benki hyo na kuingia hadi ndani

Ni mfanyakazi wa bank hiyo na alikuwa anapark gari bahati mbaya badala ya kukanyaga brake akakanyaga accelerator
 

Attachments

  • 1401881050997.jpg
    1401881050997.jpg
    66.6 KB · Views: 1,202
  • 1401881070215.jpg
    1401881070215.jpg
    66.6 KB · Views: 714
  • 1401881083597.jpg
    1401881083597.jpg
    29.6 KB · Views: 721
Bila ya shaka hakuna alieumia yote kheri
 
dah ni kweli bana, Dereva alijichanganya badala ya kukanyaga breki kwa nguvu alikanyaga Accelerator! likavunja barier, nikapanda msingi likaingia ndani ya benk! kweli ajali haina macho!
 
Hela chafu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
haa ilikuwaje maana napafamu pale benki kana bariers na msingi wa baraza uko juu, lkn pia akitokea wapi kwa kuwa hiyo packing haina mita mita kumi lazima uingie kwa kukata kona, pia kutokea barabarani lazima ukate kona ya 90 degrees ambayo hakuna zaidi ya mita 30. hiyo spidi ilikwaje!??? naiuliza ngoja niende nikashudie

Ajali bhna yani unaweza ujiulize maswal kua imekuaje na usipate jibu
 
inamaana alikua anapark na speed ngapi hadi livuke pote hapo!!! anyway ajali tu...
 
Hali ilikuwaje humo ndani, poleni mlioathirika kwa namna moja au nyingine

Wakati tukio linatokea nilikuwa ndani ya benki, uzuri hakukuwa na watu wengi ndani ila wachache tuliokuwemo ilikuwa mshike mshike, ajali haina kinga
 
Yawezekana dereva badala ya kukanyaga break yeye akakanyaga mafuta.

Inatokeaga mkuu, akili inakutuma kwamba umekanyaga break kumbe unachochoea accelerator, ni nouma usiombe ikukute hiyo
 
haa ilikuwaje maana napafamu pale benki kana bariers na msingi wa baraza uko juu, lkn pia akitokea wapi kwa kuwa hiyo packing haina mita mita kumi lazima uingie kwa kukata kona, pia kutokea barabarani lazima ukate kona ya 90 degrees ambayo hakuna zaidi ya mita 30. hiyo spidi ilikwaje!??? naiuliza ngoja niende nikashudie

Acha umbea ww fanya yako


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Inatokeaga mkuu, akili inakutuma kwamba umekanyaga break kumbe unachochoea accelerator, ni nouma usiombe ikukute hiyo

Haswa ukiwa na mawazo. Best kumbe upo huu mji! Ntakutafuta one day.
 
Wakati tukio linatokea nilikuwa ndani ya benki, uzuri hakukuwa na watu wengi ndani ila wachache tuliokuwemo ilikuwa mshike mshike, ajali haina kinga


Acha uongo ajali imetokea SAA 8:20. am mteja gani anakuwa ndani ya bank mda huo???

Taarifa ya branch director umeiona??

Too low!!!
 
Back
Top Bottom