Malipo kwamungu
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 574
- 86
Lipo mahakamani jamani hata kamanda msangi analijua hili na ulimboka.
Imegusa kapiga magoti kidogo
Hapa IGP na waziri wa mambo wa ndani wanahusika vipi? Kitendo cha mtu kujinyonga kinasikitisha sana hakuna mtu mwenye uwezo wa kuzuia kama mtu ametaka mwenyewe kuidhuru nafsi yake; sababu zipo nyingi ni udhaifu wetu binadamu kushindwa kukabiliana na matatizo yetu sioni sababu ya kumhusisha IGP na waziri wa mambo ya ndani na tukio hili utakuwa ni ufinyu wa fikra.
Chama
Gongo la mboto DSM
Kama inahusiana na Usalama wa Taifa wala msijichoshe kuichapa kwani ikiwekwa hapa Jamvini haitadumu zaidi ya dakika tano kabla mods hawajaifuta halafu ukicheza ucharazwe na Ban la mwezi pamoja na IDs zako nyingine zote waziunganisheASKARI jasiri aliyejizolea sifa mkoani hapa kwa kitendo chake cha kuwataja hadharani baadhi ya askari wenzake akiwashutumu kwa tuhuma mbalimbali zikiwemo za kushirikiana na majambazi kufanya uharifu, Donald Julius Mathew, mwenye namba ya jeshi la polisi F3276 amekufa akidaiwa kujinyonga. Mwili ya afande huyo ambaye ni maarufu mkoani hapa kwa jina la Dunga umekutwa ukiningin'ia juu ya mti eneo la Daraja la Shani ambalo liko katikati ya Mji wa Morogoro. Dunga aliwalipua maafande zaidi ya sita ambao walihamishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Said Mwema na yeye kuhamishwa mkoa wa Singida. Hata hivyo, Dunga aligomea uhamisho huo akipinga watuhumiwa kutochukuliwa hatua. Sababu alizotoa Dunga zinaelezwa katika barua aliyomwandikia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi aliyoitoa kwa mtandao huu na ambayo tunaichapisha.
Dr. Ulimboka tunamuombea aendelee kupona ili tumsikie nini kilitokea
Chama
Gongo la mboto DSM
Natamani ningefanya mimi hiyo 'post-mortem'....
Unajua damu ya mtu haipotei bure,na mungu huwa hapendi watu wake waangamizwe,hii inaonyesha jinsi gani hao jamaa wameacha nafasi kwa mtu yeyote mwenye akili kujua huyu jamaa hajajinyonga,haiwezekani nguo ichafuke kwa vumbi inamaana kuna kilichotokea kwanza kabla ya hapo.Na kwanini afe akiwa hajaning'inia mtini?Ila kwa nchi yetu litapita tu,ingekuwa kwa wenzetu ingechukua hata miaka kumi ila ukweli ungejulikana na wahusika wangelipia mabaya yao.
Mie nchi hii naanza kuigopa! Idd Amin anatawala Tanzania.
Hajapiga magoti huyo na wewe achaga uongo wa mchana kweupe basi.
Hajapiga magoti huyo na wewe achaga uongo wa mchana kweupe basi.
Hajapiga magoti huyo na wewe achaga uongo wa mchana kweupe basi.
Hi Radhia,How you doin? It has been long tym,whre have you been,you good?
Inawezekana hata tukio hili lipo planted (limetengenezwa).