Morogoro: Askari ajiua kwa uzembe wa uongozi wa jeshi la polisi

asante kaka Tonny, I hope wewe ni mmoja kati ya products za Ng'walali. Asante sana kwa maelezo yako, ila suala la kivuli na mwanga wa kamera bado sjaridhika sana coz mwanga usingekuwa licalised kwenye just mguu wa kushoto. Pia its expected mtu aliyejinyonga uso/kidevu kuangalia juu coz anakosa hewa hivyo kuangalia juu ni attempt ya kujipatia hewa na kupunguza makali ya kitanzi. more likely PC dunga mauti yalimfika kabla ya kitanzi
 
asante kaka Tonny, I hope wewe ni mmoja kati ya products za Ng'walali. Asante sana kwa maelezo yako, ila suala la kivuli na mwanga wa kamera bado sjaridhika sana coz mwanga usingekuwa licalised kwenye just mguu wa kushoto. Pia its expected mtu aliyejinyonga uso/kidevu kuangalia juu coz anakosa hewa hivyo kuangalia juu ni attempt ya kujipatia hewa na kupunguza makali ya kitanzi. more likely PC dunga mauti yalimfika kabla ya kitanzi



Usiogope Mkuu mimi nabangaiza kwa kupita kwenye internet kujiokoteleza vipoint vya masuala mbalimbali ya Kitaalam coz napenda kujifunza vitu vipya kila siku.K

1: kuhusu kivuli nlikuwa sijakupata Vizuli hichi kinaonekana kama kimiminika ambacho kiukweli ni vigumu kuprove nini nini mpaka ukafanye BIOCHEMISTRY ANALYSISI ila nadhani watakuwa walimwaga maji ili kutuvuta mawazo yetu tuamini kuwa ni mkojo ambao aliutoa wakati anakata roho.. Though pia kama ni mkojo ilikuwaje ukawa localized kwenye mguu wa kushoto na chini peke yake? Ulipitia wapi?

2: Kidevu kupoint Juu sio tu katika hali ya kutafuta Hewa but mtu anapokufa huwa kunamabadiliko mbalimbali yanayotokea mwilini mwake hadi kuoza na Moja ya tulivozungumza hapo juu ni RIGOR MOTIS. Mtu anapokufa mwili huwa bado unakuwa laini (SOFT) but kadri muda unavyokwenda up to 4hrs huwa anachukua shape ya mazingira aliyowekwa... Mfano kama angekuwa ananing'inia kwenye kitanzi kingepush Kidevu juu baada ya kuwa amekufa.
 
umesomeka Kaka Tonny! Tupo pamoja, naamin dhali watashindwa mbele ya haki. Vyeo ni vya hapa hapa duniani, mwisho wa siku sote ni nyama ya udongo!
 
umesomeka Kaka Tonny! Tupo pamoja, naamin dhali watashindwa mbele ya haki. Vyeo ni vya hapa hapa duniani, mwisho wa siku sote ni nyama ya udongo!
 
Kuna habari kutoka chanzo kimoja cha usalama wa taifa kuwa wale wauaji wa huyo askari wanafanya njama za kummaliza mwanasheria aliyekuwa akimsaidia marehemu Donald Mathew. Mwanasheria huyu anaitwa AMANI MWAIPAJA ambaye marehemu amemtaja sana katika barua zake kuwa ndiye aliyejitolea kufa na kupona kuhakikisha uozo wa jeshi la polisi unawekwa wazi, so tusubiri tuone watawauwa wapiganaji wangapi kuficha ukweli
 
Some corrections,
1. Wengi wanajinyonga na vitasa vya mlango, miguu kugusa chini si hoja, kitaaalamu inaitwa "incomplete hanging", na bado kufa ni pale pale.
2. Hakupanda benchi bali kiti cha plastiki ambacho kimelala upande. Kumbuka si lazima upande popote ili ujinyonge.
3. Hicho kitanzi kiko kwenye style ya "typical hanging" ambapo fundo la kitanzi hukaa kisogoni, na hunyonga pole pole, huua kwa kokosesha hewa na siyo kuunyima ubongo damu, "judiciary hanging" fundo linawekwa chini ya sikio la kushoto ili kitanzi kibane kwa upande na kusababisha kupoteza fahamu mapema. Mtu anapojinyonga huwa anakufa pole pole kuliko wanaonyongwa kisheria.
4. Alijinyonga kwa kisimama kwenye kiti cha plastiki na kukipindua.
5. Kielelezo kingine kipo kwenye picha ambayo wanamuondoa, utaona amejichafua. Mtu anapojinyonga, na haswa wanaume, huwa kabla ya kukata roho, dakika ya nne kitanzini, hupandisha nyege, hupata mshindo (ejaculation), hukojoa mkojo na mwishowe haja kubwa hutoka roho inapotoka, sphincter zina-relax.

Hata hizo sababu za kujinyonga zinaelezea mtu ambaye amekata tamaa na maisha, kama isingekuwa kuwaripoti wenzeke lingekuwa jambo lingine, huyu alikuwa aishie na kitanzi shingoni. Na saa nyingine hakuna kizuizi cha kitanzi shingoni, short drop and sudden stop.
 
Back
Top Bottom