Malipo kwamungu
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 574
- 86
Zubedayo Kaelezea vizuri mwaka jana mwezi novemba uzi wenye maelezo ya kumshutumu Msangi kushirikia na majambazi uliandikwa na huyu afande anaesadikiwa amekutwa amejinyonga Morogoro, Msangi kipindi hicho alikuwa Morogoro kikosi cha kuzuia ujambazi na akina Kimaro a.k.a Saba sita.
wana JF wengi wako makini kusoma na kuchangia tafadhali Ulimboka hajafa yupo!! lakini Msangi aliyehusika kwa Uli ndiye aliyetajwa na Dunga mwezi November,2011
wana JF wengi wako makini kusoma na kuchangia tafadhali Ulimboka hajafa yupo!! lakini Msangi aliyehusika kwa Uli ndiye aliyetajwa na Dunga mwezi November,2011