MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
Huyu itakuwa walimwendea kule Songea si bure..
Sikatai kabisa. Na inawezekana huyu ana siri za kuzuia maandamano ya CDM labda alitaka kuziweka kweupe.Inawezekana hata tukio hili lipo planted (limetengenezwa).
Inawezekana hata tukio hili lipo planted (limetengenezwa).
Click on the link below to read usanii wa Nchimbi.
Corrupt police officers to be named, shamed in public
Nimeona.. Yani full maigizo... Huyu jamaa naye hafai hata kidogo.. Anamikwara mbuzi ambayo haieleweki
Siku alipotwekwa Dr Ulimboka alikurupuka eti serikali haiusiki hata kabla watu hawajasema inahusika halafu mwisho akaahidi tume iundwe wakati ashato amajibu kwa mtuhumiwa mmoja.. Dr Slaa alipotoa shutuma za Kuwindwa kuuwawa akaja na Biti la Kutaka Polisi iwahoji nalo sijui limeishia wapi make naona kimya.. Wasomali walipofia Dodoma akakurupuka na Press conference Kuwa hali haitajitokeza tena haijapita hata miezi 3 wangine tena Kilimanjaro wamenusurika kufa wakiwa washaingia nchini sijui wamepitia mipaka ganii
Sijui atakuja na Igizo gani tena.. Ngoja tusubiri.
Serikali yote imeshindwa kazi wanachoendeleza sasa ni maigizo tu kila kukicha wakati nchi inaendelea kuangamia. Wale TAKUKURU wamekabidhiwa majina ya mafisadi ndani ya Serikali waliokutwa kwenye bank accounts za nchi za nje na $200 million lakini hadi hii leo wanashindwa kuyaweka majina hayo hadharani kwa madai eti "wanaendelea na uchunguzi"