Askari Polisi aliyemshutum ACP Msangi na mshutumiwa namba moja wa utesaji na vipigo vya Olimboka kakutwa kanyongwa na kamba na kuning'ing'ia katika daraja la shani mjini Morogoro
Bado ni kitendawili si sahihi kulihusisha jeshi zima inawezekana marehemu kajiua mwenyewe au ameuliwa, tuviachie vyombo vya usalama vifanye uchunguzi wake.
Chama
Gongo la mboto DSM
Askari Polisi aliyemshutum ACP Msangi na mshutumiwa namba moja wa utesaji na vipigo vya Olimboka kakutwa kanyongwa na kamba na kuning'ing'ia katika daraja la shani mjini Morogoro
Askari Polisi aliyemshutum ACP Msangi na mshutumiwa namba moja wa utesaji na vipigo vya Olimboka kakutwa kanyongwa na kamba na kuning'ing'ia katika daraja la shani mjini Morogoro
Bi Kongosho taratibu...unantukania baba yangu hapo ujue...
Si kila askari polisi ni muovu tafadhali. Its sad kitendo kilichotokea bt kwangu dots haziingiliaani..lets wait tuone uchunguzi utasemaje.
Najua kwamba samaki mmoja akioza...but hasty generalization is a fallacy..beware.
Bado ni kitendawili si sahihi kulihusisha jeshi zima inawezekana marehemu kajiua mwenyewe au ameuliwa, tuviachie vyombo vya usalama vifanye uchunguzi wake.
Chama
Gongo la mboto DSM
Hayahayaaaaaaa wale wa magumashi wale wa magumashi,katika sakata jingine la Msangi,askari aliyemlipua amekutwa AMENYONGWA,Msangi,IGP na SIDE MWEMA mmejivua nguo,Sasa hv hakuna majasusi kabisa ndani ya jeshi,hicho kiti ndio katumia kujinyongea? Hahaaaaa yani alivyopanda na kukipiga pembeni miguu itafika chini na hata kamba haitomgusa shingo hata kidogo!! Haya Tusubiri muvi nzima maana washasema kwamba alikua ana matatizo ya akili wakati niliwahi kumsikia akihojiwa live(Times FM) na aliongoe wazi kwamba yeye sio chizi kabisa!
Jamaa alijigaragaza kwenye vumbi kwanza halafu akajitutinga kwenye mti, this is bongoland!!
Hivi ni macho yangu au niko sahihi? naona kama jamaa miguu imegusa chini vile!?