steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,672
- 10,446
nilikuwa pale saba saba manzese na wanangu wa kota! na baba yetu butelez mtemi wa enzi hizo hata achimpota anampata vizuri tu nakumbuka wakati tunataka tuzamie india mimi,mwanangu bitebo(marehemu),wa sobibo,side mpare,na juma mtoto wa chamwino tukamshawishi mtoto wa watu wa kihind khan akamwibie baba yake dukan pale amadiya.baada ya kufanikisha dili tukaondoka moro breki ya kwanza arusha huku kichwan tukipanga ishu ya kumtoroka khan na kumwacha soremba dili likatiki nasikia huko moro muind alianzisha mtiti walokuwa karibu na mimi wote walionja mahabusu nasikia boka alifatwa home akabebwa akiwa na kufuli tu manzese ilitikisika sitaisahau moro
hahahaaaaa,mkuu TADPOLE kama nakusoma vilee,manake hao unaowataja wakina bitebo,mpare wote ni wa kitaa changu,umemsahau isihaq sadallah,achimpota mosses kawa bonge la mtu kama mzee mukhi vile