Shabhan
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 236
- 102
kama laptop kaiona akiwa babyclass...unategemea nn?...wewe umekuja kuitumia kazini...lol
Dogo hivo wewe mwenyewe uanakubali kua wewe si wa jana bali asubuhi hii?
kama laptop kaiona akiwa babyclass...unategemea nn?...wewe umekuja kuitumia kazini...lol
unijua shule maarufu zamani waliita St. Andrews?kama huijui tumia google ikusaidie...maana ndo zenu watoto wa touch screen!..
umenikumbusha...BILA FANTAAA!..
kamanda vitakua lege lege mara ngapi?
Pita mjini utaona wadogo wanavaliana nguo na mabinti. Unashindwa hata kuchanganua
kama nu rizki ama sio rizki.
Hilo somo lingewafaa kabisa.
Hahahahahahaha.....na hivo kuna mswada wa kameruni, mbona itakuwa msiba?
.unijua shule maarufu zamani waliita St. Andrews?kama huijui tumia google ikusaidie...maana ndo zenu watoto wa touch screen!..
we si wakishua Amy!
braza eti ina maana gani...?si unakumbuka lakini tukio la mauaji nililofanya nikiwa darasa la pili??sitaki lijirudie...
safi shemeji mdogo!...it has bn a while sio?tunakimbiana tu...naona lugha ni arumeru tuuu!..