Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,669
Toka jana kumekuwa na hali ya sintofahamu katika kipindi mahiri cha morning magic kinachoendeshwa na galacha watatu; orest kawau, meshack nzowa na mary edward. Jana kipindi kilichelewa sana kuanza. Na kilipoanza walikuwa watangazaji wageni kwa kipindi. Leo pia kina orest hawako, na hawa wageni bado wanasuasua. Kulikoni Magic FM?