Monotonous styles kwenye harusi za siku hizi zinaboa

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,319
Wazazi wa bw arusi kuingia ukumbini, then wazazi wa bb arusi, then bw na bb arusi kuingia ukumbini (wimbo wa kinigeria), then kufungua champaign, then kukata keki, then kupeleka keki kwa wakwe... nk Yaani siku hizi harusi hazina jipya, hata mda wa kuanza sherehe, styles za kupamba viti na majukwaa,... yaani hadi inaboa..

Utasikia mara moja kwa mwaka kati ya watu unaowafahamu, mtu kafanya style tofauti, mfano arusi kufanyikia garden, hakuna majukwaa, harusi za zaidi ya siku 1, watu kujichomea chama wenyewe, watu kujinunulia vinywaji wenyewe, arusi kufanyika asubuhi nk. Kwa ambao hamjafanya arusi, kuweni wabunifu bana...
 
Kweli mkuu, inaboa ile mbaya. Hakuna jipya kabisaa! Hata mimi huwa najua ni muda gani matukio muhimu yanakuwa yameshaisha ili nitimke. Ubunifu muhimu, na kwa kuwa tumezoea kuiga, akitokea mtu amebadilisha kidogo, wengine wataiga ili kuwe na katofauti japo kwa kiasi kidogo.
 
huwa si boreki so long as natandika bia, sherehe za kilokole sinaga muda wa kwenda
 
Hee we ukifika kunywaaa beba iPod yako ukiwa na hamu na mziki unasikilizaaa ukichoka huyoo home
 
Back
Top Bottom