Money ni kingereza, fedha asili yake ni kiarabu, hela ni kijerumani, pesa ni kireno. Shilingi na noti ni kingereza. Kwa kiswahili asilia money ni nini.
Umasikini wetu unaanzia hapo!
Na ukiona kwa kikabila chako mnatumia maneno kama hea na pesa ujue hamna asili nazo.
Umasikini wetu unaanzia hapo!
Na ukiona kwa kikabila chako mnatumia maneno kama hea na pesa ujue hamna asili nazo.