Money can't buy love. Tusidanganyane

Money can't buy love. Tusidanganyane

Kumekuwa na mitazamo kadhaa wa kadhaa kwa sasa katika jamii kuhusu mahusiano na wengi wamekuwa wakisema pesa Ina nguvu Sana katika mapenzi.

Wengi wanaamini kuwa pasipo kuwa na Pesa kwa sasa huwezi kuyafurahia mapenzi utakuwa Kama mwizi aliyeiba naye akaibiwa kariakoo.

Bila Pesa utasikia wanasema huwezi pata mpenzi la hasha. Hata ukimpata mpenzi mapenzi yenu hayawezi dumu ni Kama kujisumbua

Wanawake wa sasa ni Pesa tu. Piga kazi utafute pesa upate penzi ufurahie lakini imani yangu ni kuwa mapenzi ni hisia za kweli kwa mwenza. Pesa inaweza kuwa kigezo cha kupata penzi.
Money cant buy love, but poverty cant buy anything
 
Pesa hununua ngono mkuu, hilo ndilo kipaumbele
 
Kumekuwa na mitazamo kadhaa wa kadhaa kwa sasa katika jamii kuhusu mahusiano na wengi wamekuwa wakisema pesa Ina nguvu Sana katika mapenzi.

Wengi wanaamini kuwa pasipo kuwa na Pesa kwa sasa huwezi kuyafurahia mapenzi utakuwa Kama mwizi aliyeiba naye akaibiwa kariakoo.

Bila Pesa utasikia wanasema huwezi pata mpenzi la hasha. Hata ukimpata mpenzi mapenzi yenu hayawezi dumu ni Kama kujisumbua

Wanawake wa sasa ni Pesa tu. Piga kazi utafute pesa upate penzi ufurahie lakini imani yangu ni kuwa mapenzi ni hisia za kweli kwa mwenza. Pesa inaweza kuwa kigezo cha kupata penzi.
Mpaka upate hisia za mwanamke katika dunia ya leo, Lazima u boost na pesa ,coz wanawake by nature n selfish na wamejawa na tamaa Sana, kila kitu kizuri wanataka,outing sehemu nzuri, kusuka, shopping, vizawadi zawadi vya hapa na pale, attention yako kwake,so atataka umuonyeshe unampenda kila saa ,kila siku, sio kwa maneno mazuri tuu, na vitendo pia, hapo kwenye vitendo ndo pesa lazima ikitoke, coz ukizubaa Kuna wenzako nao wanamfukuzia na wanatoa pesa au kumnunulia vitu vya gharama, so Wala tusizunguke Sana, Bila pesa mapenzi hayawezi kudumu,

Na hapo hapo usijisahau unaweza ukafanya yote na bado akawa anakucheat so kuishi nao kwa taadhari tusisahau.....
 
Mkuu pesa ni connection ya mahusiano, kwa hiyo ukitaambua umuhimu wa kiunganishi lazima ukiheshimu na kutambua umuhimu wake,
Pia bila pesa mapenzi bado yapo ila yanakuwa hayana afya
Yanakua yamesinyaa mnoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa uzoefu wangu watu wengi wanapokuwa katika mahusiano mapya na wanawake wapya hujiona wapo sehemu Salama kwani haoni dalili za kupigwa mizinga kuombwa hela hivyo hujiaminisha hakuna mapenzi ya pesa

Lakini naomba niseme jambo hili hakuna Kiumbe anaetumia akiri ndani ya mahusiano kama mwanamke na akiri ya mwanamke ndani ya mahusiano yeye hutumia kukusoma Tabia, mienendo yako na kiuchumi uko vipi .

Akiona mtu mwenyewe hoe haee tegemea kubreak up nae siku akikutana na mtu ambae ni bora kuliko wewe tegemea kuachwa tuu broo kwa visa vituko na vitimbwiiii
This very true Mkuu, una upeo mkubwa Sana kaka
 
Back
Top Bottom