the supporter
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 836
- 1,109
Kwenye noti ndio mahali watoto wazuri wanapo kaa. wewe usitafute pesa utaona unapo kwamia
[emoji23][emoji23]Kwenye noti ndio mahali watoto wazuri wanapo kaa. wewe usitafute pesa utaona unapo kwamia
Mapenzi hayo ya hela sio true love[emoji6]Tafuta hela aisee acha porojo
[emoji23][emoji23]Nyie ndio wale wale wakusema "Education is better than money" [emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo matatu ya kumfanya mwanamke akupende zaidi
1. MPE PESA
2.MWONGEZE PESA
3.MWONGEZE TENA PESA AISEE...
[emoji23][emoji23]apo ndo penyeweHalafu nashangaaga mkiombwa hela mnasimanga sana
It can rent it yes but no profit is going to be made at the end!Money can't buy love yes....but it can rent it!!
Kumekuwa na mitazamo kadhaa wa kadhaa kwa sasa katika jamii kuhusu mahusiano na wengi wamekuwa wakisema pesa Ina nguvu Sana katika mapenzi.
Wengi wanaamini kuwa pasipo kuwa na Pesa kwa sasa huwezi kuyafurahia mapenzi utakuwa Kama mwizi aliyeiba naye akaibiwa kariakoo.
Bila Pesa utasikia wanasema huwezi pata mpenzi la hasha. Hata ukimpata mpenzi mapenzi yenu hayawezi dumu ni Kama kujisumbua
Wanawake wa sasa ni Pesa tu. Piga kazi utafute pesa upate penzi ufurahie lakini imani yangu ni kuwa mapenzi ni hisia za kweli kwa mwenza. Pesa inaweza kuwa kigezo cha kupata penzi.
[emoji23][emoji23][emoji23]bila kusahau na ya kutoleaAnakwambia baby nimekumis.
We unajibu eti me too.
Acha kuzubaa tuma nauli aje..
Wadada wa mjini bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bila kusahau na ya kutolea
😲😲Mapenzi ndiyo maana waganga wameamua kuyaingilia kati
Kwani waganga wa mapenzi nao wanapiga ramli [emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji44][emoji44]
Inategemea unazungumzia waganga gani 😁Kwani waganga wa mapenzi nao wanapiga ramli [emoji849][emoji1787][emoji1787]
It depends on how you define profitIt can rent it yes but no profit is going to be made at the end!