zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,865
- Thread starter
- #21
[emoji23][emoji23]No money No honey
[emoji23][emoji23]No money No honey
Ila Bakhresa ana mke mmoja tu dah![emoji23]No money No honey
Pesa tunatafuta lakini na love nayo imeadimika sikuizi ni ya kutafuta piaTafuta pesa acha porojo.
Dah!ladies first Ila kwenye pesa ni men's most and first[emoji23][emoji23]Mapenzi siyo pesa Ni kweli
Lakini pesa Ni kiungo (iliki,mdalasini,binzari na kitunguuswaumu)kwenye mahusiano...
Mwanamke hasaa ameumbwa kuhudumiwa hata awe na Mali bado atahidaji huduma za mwanaume ili kukamilisha uanamke wake na kujihisi Ni mwanamke.
Pesa inaleta heshima kwa mwanaume
Pesa inamfanya mwanamke anawiri matunzo
Pesa inamfanya kisirani kipunguwe
Kiufupi wote tutafute pesa
Ila wanaume tafuteni zaidi .
Hatuwezi kupigana na natureDah!ladies first Ila kwenye pesa ni men's most and first[emoji23][emoji23]
Mambo matatu ya kumfanya mwanamke akupende zaidi
1. MPE PESA
2.MWONGEZE PESA
3.MWONGEZE TENA PESA AISEE...
Dah!money is the source of all evilsWell said
Mapenzi siyo pesa Ni kweli
Lakini pesa Ni kiungo (iliki,mdalasini,binzari na kitunguuswaumu)kwenye mahusiano...
Mwanamke hasaa ameumbwa kuhudumiwa hata awe na Mali bado atahidaji huduma za mwanaume ili kukamilisha uanamke wake na kujihisi Ni mwanamke.
Pesa inaleta heshima kwa mwanaume
Pesa inamfanya mwanamke anawiri matunzo
Pesa inamfanya kisirani kipunguwe
Kiufupi wote tutafute pesa
Ila wanaume tafuteni zaidi .
Ni kweli kabisa upendo ni maridhiano kutoka moyoni bila kishawishi chochoteKumekuwa na mitazamo kadhaa wa kadhaa kwa sasa katika jamii kuhusu mahusiano na wengi wamekuwa wakisema pesa Ina nguvu Sana katika mapenzi.
Wengi wanaamini kuwa pasipo kuwa na Pesa kwa sasa huwezi kuyafurahia mapenzi utakuwa Kama mwizi aliyeiba naye akaibiwa kariakoo.
Bila Pesa utasikia wanasema huwezi pata mpenzi la hasha. Hata ukimpata mpenzi mapenzi yenu hayawezi dumu ni Kama kujisumbua
Wanawake wa sasa ni Pesa tu. Piga kazi utafute pesa upate penzi ufurahie lakini imani yangu ni kuwa mapenzi ni hisia za kweli kwa mwenza. Pesa inaweza kuwa kigezo cha kupata penzi.
Hela haiwezi kukupa furaha hata siku na Moja..Mkuu ivi kweli kuna mtu ambae hana hela halafu akawa na furaha tuanzie hapo. Yaani forget about kuwa na mpenzi upo single ila huna pesa unakuwa huna furaha 24/7. Sasa love hio inakuja vipi kwa mtu ambae hana hela...kiufupi hakuna mapenzi bila hela itakuwa mtu anajifosi tu ila upendo hapo.
Nahisi kuna point inakosekana hapa watu wanashindwa kutofautisha kuwa na pesa kwa ajili ya basic needs na kuwa na mapesa mengi bank.Hela haiwezi kukupa furaha hata siku na Moja..
Mara nyingi tumeshuhudia familia za kitajiri zikokosa maelewano mazuri baina ya wanafamilia huku familia za kipato cha kawaida zikiwa na upendo na ushirikiano mkubwa
So what u expert?Ila Bakhresa ana mke mmoja tu dah![emoji23]
Even Bill Gates the same story[emoji4]