Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Na ndo utaweza kuishi na watu!! Mwenyewe wala hawanishtui mshipaMimi huwa najiambia humu JF hata mtu anitukane vipi maadamu hanijui simjui wacha atukane mpaka nafsi yake iridhike![]()
Na ndo utaweza kuishi na watu!! Mwenyewe wala hawanishtui mshipaMimi huwa najiambia humu JF hata mtu anitukane vipi maadamu hanijui simjui wacha atukane mpaka nafsi yake iridhike![]()
Na ndio dawa yao hiyo.Na ndo utaweza kuishi na watu!! Mwenyewe wala hawanishtui mshipa
Kwa mfano nije nianze tu sweetlee anamchukulia miss bwana. Ndo story zao zikogo hivyo sasa. Utashangaa watu wanakusema we mwizi wa bwana wakati wewe hata hujui loloteSiongei mama macho ya kwenye Avatar auwayatoboe kabisa wakitaka. Maisha yangu humu yatabaki Private mpaka siku nitakapo amua kupumzika na JF


Eeeh. Daaaah







Picha inazunguka tu jamani unajiuliza picha imefikaje jamaniHahahaKaka angu lazima niende kwa Mwakasege nikapige maombi sio wewe ninayekujua
Cheka mwaya sura isije ikapata makunyanzi buree![]()





Acha nicheke mama na ninavyopenda kucheka sasa nani anapenda kuzeeka harakaBwana wa ID na Avatar fake amaKwa mfano nije nianze tu sweetlee anamchukulia miss bwana. Ndo story zao zikogo hivyo sasa. Utashangaa watu wanakusema we mwizi wa bwana wakati wewe hata hujui lolote![]()












Nikuwapuuza tuu my dear!!Hivi kuna mtu kawalazimisha kuyaleta jukwaan?
Simple logic, mmegombana mkashindwa kuombana misamaha live, whassup, pm mkayaleta public, sisi tufanyeje sakayo?
Kabisaaa yaaniNi kutokujitambua tu.
Wale wasengenyaji ndio wanapenda kuzeeka harakaAcha nicheke mama na ninavyopenda kucheka sasa nani anapenda kuzeeka haraka



Nikapige maombi dada kwa ajili ya aliyemteka kaka angu jamani mpaka tigo pesa kateka huyu mtekaji sio mtu mzuri kwa afya yanguHahaha
Kuna nini kwa Mwakasegee
EwaaaaaNa mwisho wa siku lazima yabume tu.
Mimi binafsi mtu akinifata kuniambia habari za Member mwingine wa humu ninampa Block la mwendokasi maana sitaki umbea apambane na mabifu yake hukohuko.