ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,580
- 56,800
Unajua kwa mfano kwa mikoa kama ya kwetu midogo Lindi,SINGIDA n.k huenda kuna siku inaweza kupita mtu hajafariki dunia monchwari nyeupe ila kwa matukio ya kusikitisha tunayosikia Arusha sidhani kama kwa siku kunalala dry.Aisee serikali tunaomba muongeze nguvu muanzishe operesheni maalum ya miezi hata mitatu kudhibiti bangi na madawa ya kulevya Arusha.bodaboda ajali wao,kuuana wao