Habari ya kusikitisha, kumbe bwana Nkurunziza (rip), ilikuwa awe mgeni wetu. Mapenzi makubwa kiasi gani kwetu sisi kuwa katika ratiba za mwisho mwisho za marehemu?
Ikumbukwe kuwa tangia jaribio lile la Mapinduzi 2015 Nkurunziza alisafiri nje ya Burundi mara moja tu na alipofanya hivyo alikuja Tanzania.
Heshima kwako mzee wa Msoga, mzee Kikwete. Hukuwa na longo longo na koleo uliliita kwa jina lake.
Japo mara hii ilikuwa aje kwa ajili ya ku jipiga nyungu, bado ugeni ulikuwa ugeni tu na tungefarijika mno kuwa naye:
Secret Exposed as Details Leak on What Really Killed Pierre Nkurunziza
Kwa sababu hata katika dakika za mwisho za marehemu tulikuwamo katika orodha ya kuwa wenyeji wake, itakuwa jambo jema nasi kufikiria kwenda kumzika na kumsindikiza ndugu yetu huyu.
Napendekeza angalau tupeleke dream-liner moja ya waombolezaji. CNDD/FDD alichokuwa akikiongoza ni chama rafiki wa moja ya vyama vyetu vikuu sana vya siasa hapa nchini.
Mashirikiano ya vyama rafiki katika dhiki na raha ndiyo u "africanacity" wetu.
Ikumbukwe pia kuwa, Burundi na sisi tuko katika boti moja. Mabeberu wanatuandama mno. Katika mikopo na grants zote kuhusiana na Corona ni sisi na Burundi peke yetu ambao ndiyo wahanga.
Tusiwatelekeze hawa ndugu zetu hasa katika kipindi hiki kigumu mno kwao. Siyo siri ndugu zetu hawa hawana mwingine hata wa kuwafariji tu ila sisi.
Ikumbukwe kuwa tangia jaribio lile la Mapinduzi 2015 Nkurunziza alisafiri nje ya Burundi mara moja tu na alipofanya hivyo alikuja Tanzania.
Heshima kwako mzee wa Msoga, mzee Kikwete. Hukuwa na longo longo na koleo uliliita kwa jina lake.
Japo mara hii ilikuwa aje kwa ajili ya ku jipiga nyungu, bado ugeni ulikuwa ugeni tu na tungefarijika mno kuwa naye:
Secret Exposed as Details Leak on What Really Killed Pierre Nkurunziza
Kwa sababu hata katika dakika za mwisho za marehemu tulikuwamo katika orodha ya kuwa wenyeji wake, itakuwa jambo jema nasi kufikiria kwenda kumzika na kumsindikiza ndugu yetu huyu.
Napendekeza angalau tupeleke dream-liner moja ya waombolezaji. CNDD/FDD alichokuwa akikiongoza ni chama rafiki wa moja ya vyama vyetu vikuu sana vya siasa hapa nchini.
Mashirikiano ya vyama rafiki katika dhiki na raha ndiyo u "africanacity" wetu.
Ikumbukwe pia kuwa, Burundi na sisi tuko katika boti moja. Mabeberu wanatuandama mno. Katika mikopo na grants zote kuhusiana na Corona ni sisi na Burundi peke yetu ambao ndiyo wahanga.
Tusiwatelekeze hawa ndugu zetu hasa katika kipindi hiki kigumu mno kwao. Siyo siri ndugu zetu hawa hawana mwingine hata wa kuwafariji tu ila sisi.