fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,608
- 7,167
Rejea vizuri historia ys Iran ndugu,kwanza hakuna mtu mmoja aliyetangazwa kumrithi Ali Khamenei.Pili Ali Khamenei hana mtoto anayeitwa Mujtaba.Mujtaba Khomeini ni mjukuu wa Ayatollah Ruhollah Khomeini,kiongozi wa waislamu wa Irani aliyempindua Mohamed Reza Pahlav,Shah wa IranView attachment 3550408
Baraza la Mapinduzi la Iran limemtangaza Mojtaba Khamenei (Mtoto wa Ali Khamenei- RIP) kuwa kiongozi mkuu wa Iran.
Ali Khamenei alimlea akimlea na kumwandaa kwa miongo kadhaa mwanawe mwenye roho mbaya, Mojtaba, ili awe kiongozi mkuu ajaye.
Yeye ni mbaya zaidi kuliko baba yake.
Huyo mojtaba ana roho mbaya kumzidi muuaji Samia?View attachment 3550408
Baraza la Mapinduzi la Iran limemtangaza Mojtaba Khamenei (Mtoto wa Ali Khamenei- RIP) kuwa kiongozi mkuu wa Iran.
Ali Khamenei alimlea akimlea na kumwandaa kwa miongo kadhaa mwanawe mwenye roho mbaya, Mojtaba, ili awe kiongozi mkuu ajaye.
Yeye ni mbaya zaidi kuliko baba yake.
IRGC nao wataliwa vichwa tuu, waache ufadhiri wa vikundi kama hezbolla na nuclear mambo yaisheTrump alitaka mabadiliko ya serikali (regime change). CIA yake mwenyewe ilimwambia kuwa kumuua Khamenei kunaweza kufanya mambo kuwa mabaya zaidi. Alifanya hivyo hata hivyo.
Tathmini hiyo ilitengenezwa wiki mbili zilizopita. Ikiwa Khamenei atakufa, makamanda mahiri wa IRGC wana uwezekano mkubwa kuchukua madaraka, wanaume ambao utambulisho wao wote ni wa kijeshi, si wa kitheolojia.
Anafanya kazi kupitia mamlaka ya kidini, ujanja wa kisiasa, na kujizuia kwa makini. IRGC inafanya kazi kupitia bunduki.
Hii ndiyo somo la Iraq ambalo Marekani haijawahi kujifunza. Muue Saddam, upate ISIS. Haribu kilele... na uachilie kitu kibaya zaidi kutoka chini.
CIA haikusema "usifanye". Walisema: usidhani kuua kiongozi kunamaliza utawala. Iran ni mfumo, si inashikiliwa na mtu mmoja.
Kiongozi Mkuu (Supreme Leader) ndiye uso wake. IRGC ndiyo mifupa yake. Trump aliwaambia watu wa Iran usiku huu kuchukua fursa na kuamka.
Lakini ikiwa Khamenei amekufa na IRGC ichukue udhibiti, watu wanaoinuka hawata kabiliana na Ayatollah mzee anayezeeka.
Wanaweza kukabiliana na askari ambao hawana chochote cha kupoteza tena.
Una uhakika au ukafiri unakusumbua? Muhammad Mwarabu anakuwahe na undugu wa moja kwa moja na Mhajemi?na yeye ana undugu na Muhammad pia ? kwa maana khamenei alikuwa na undugu wa moja kwa moja na Muhammad mwanzilishi wa islam ...
Una uhakika au ukafiri unakusumbua? Muhammad Mwarabu anakuwahe na undugu wa moja kwa moja na Mhajemi?
Yaani huyu vita ikiendela zaidi wanakula kichwa mapema sanaView attachment 3550408
Baraza la Mapinduzi la Iran limemtangaza Mojtaba Khamenei (Mtoto wa Ali Khamenei- RIP) kuwa kiongozi mkuu wa Iran.
Ali Khamenei alimlea akimlea na kumwandaa kwa miongo kadhaa mwanawe mwenye roho mbaya, Mojtaba, ili awe kiongozi mkuu ajaye.
Yeye ni mbaya zaidi kuliko baba yake.
Baraza la mapinduzi halina hayo mamlakaView attachment 3550408
Baraza la Mapinduzi la Iran limemtangaza Mojtaba Khamenei (Mtoto wa Ali Khamenei- RIP) kuwa kiongozi mkuu wa Iran.
Ali Khamenei alimlea akimlea na kumwandaa kwa miongo kadhaa mwanawe mwenye roho mbaya, Mojtaba, ili awe kiongozi mkuu ajaye.
Yeye ni mbaya zaidi kuliko baba yake.
Unaandika utumbo unajifanya uko deep sana. Waislamu wa Bonyokwa bana shida sana. Haya bishana na Wikipedia hapa:-Rejea vizuri historia ys Iran ndugu,kwanza hakuna mtu mmoja aliyetangazwa kumrithi Ali Khamenei.Pili Ali Khamenei hana mtoto anayeitwa Mujtaba.Mujtaba Khomeini ni mjukuu wa Ayatollah Ruhollah Khomeini,kiongozi wa waislamu wa Irani aliyempindua Mohamed Reza Pahlav,Shah wa Iran
Kuna Mossad agents zaidi ya 800 ndani ya IranYaani huyu vita ikiendela zaidi wanakula kichwa mapema sana
Tatizo kubwa ninalo liona ndani ya Iran na nchi nyingi za Kiarabu/Islam ni kuwa Mossad wamepandikiza moles kila kona.
Hata akiongoza akiwa chini ya mashimo kama panya watamfikia tu labda akubali matakwa ya Israel/USA
Kwa akili yako CCM na majambazi mengi yaliyoko huko akiwemo mwigulu uliyekuwa unampigia kelele magu amtumbue ndo wanaipeleka nchi pazuri?Wale wahalifu wa Oktoba 29 waliokuwa wanachoma miundombinu walistahili walichopata. Bila risasi wale walikuwa wanaipeleka nchi yetu pabaya
We utaishi milele.Kesho Tu msiba wake
Taifa teule la ushoga!Akifanya tu ujinga kama wa baba yake wa kuwafadhiri magaidi naye ataliwa kichwa fasta:
Au alilaani taifa teule la Israeli:
Sidhani kama ni uwendawazimu.Huo ndo uwendawazimu. unashambuliwa na Washington unajibu mapigo kwa kupiga Doha.
Kubalini tu Iran bado sana na pia aache kiburi. Watamnyoosha.