sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,434
- 5,095
Kama mwanaume ndio au miongoni mwa waliofanikiwa kwenye familia, usipokuwa makini utagombanishwa na mke wako. Dada zako watajifanya wana extra caring ya kumzidi mkeo + majungu kibao.
Kuna muda ni wifu kuwa wao hawafanyiwi na waume zao unayomfanyia mke wako na wapo pia hawaoneshi caring kwa wae zao kama wanayoonesha kwako.
Usiwasuse wala kuwasahau ndugu zako kama we ndo mwenye uwezo ila wasikugombanishe na mkeo.
Lakini pia mke asikuteke na kukugombanisha na ndugu
NB: Hili halijanikuta mimi bado ila nayashudia vya kutosha.
Kuna muda ni wifu kuwa wao hawafanyiwi na waume zao unayomfanyia mke wako na wapo pia hawaoneshi caring kwa wae zao kama wanayoonesha kwako.
Usiwasuse wala kuwasahau ndugu zako kama we ndo mwenye uwezo ila wasikugombanishe na mkeo.
Lakini pia mke asikuteke na kukugombanisha na ndugu
NB: Hili halijanikuta mimi bado ila nayashudia vya kutosha.