wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Naona wameshusha gia box labda gia zilikuwa zinapandiana
Duuuuu hapo lazima manager ataambiwa ajitokeze atoe ufafanuzi, japo hautakuwa ufafanuzi wa tatizo halisi, bali aliyenunua hizo ndege ndio atampangia aseme nini!
WeweNani kasema hivyo.
aliyeruhusu picha kupigwa na aliyechukua hio picha watatafutwa mpaka watekwe sijui kwa nini jiwe anapenda kufichaficha habari kama hizo?Hahaaa tunatunza tuu kumbu kumbu sie siku tutakapo mburuza Mbele ya mahakama ya ufisidi atalia na kusaga meno. Hatuja sahau kile Kivuko chake Fake alicho kificha kule jeshini na sasa kaongeza kununua li dege bovu.
Halafu utamsikia bwana Meko, "Watanzania tumeibiwa sanaa, wakati jenyewe ndio jizi kuu na genge lake linalo jificha ktk kivuli cha uzalendo.
Kwa maisha ya kawaida tu. Mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe.Hivi mazuri yanaweza kungoja kutangazwa?
Yenyewe yanakawaida ya kujitangaza kwa uzuri wake. Ukiona watu wana ng'ang'ania kukiremba kitu (mfano Jiwe) chunguza utagundua ni kibovu hakuna mfano.
Unakumbuka siku anayakataa makampuni ya Waziri Mkuu ya kununua korosho live akasema nitapeleka jeshi, alishauriwa na nani.Haha.. Hakuna kitu kinaniacha hoi kama wewe kutokujua kwamba Rais anashauriwa anunue nini na akinunulie wapi. Haamki na kwenda kama anaenda super market kuhemea.
Hio nayo inahitaji kuelezewa?
Kwani tokea ameanza kuiongoza hii nchi amefanya mambo mawili tu?? Kununua ndege mbovu(kama unavyoziita) na kuamuru jeshi likanunue korosho?? Think, bro! Think.Unakumbuka siku anayakataa makampuni ya Waziri Mkuu ya kununua korosho live akasema nitapeleka jeshi, alishauriwa na nani.
Tanzania ina wasomi. Kwanini wapeleke pesa nje wakati kuna watu wanaweza kufanya hio shughuli hapapa nchini.Mafundi wenyewe ndo hawa Wazanzibar!? Jamani msicheze na bahari hiyoView attachment 1186387
Unasema kweli kabisa. Je tatizo la ndege kuharibika au kupata hitilafu nani anajua litatokea saa ngapi??
Maisha yako yote hujawahi kununua kitu na kikapata shida right away.??
Kama ni 100℅ perfect kwa sababu umenunulia bei kubwa ni kwanini kampuni zinaweka warranty??
Mkuu huwezi kusema hujui ndege itaharibika saa ngapi, ikiwa angani je, kabla ya ndege kuruka internal system zote lazima zihakikishwe zinafanya kazi kwa 100%, usalama wa ndege ni tofauti na gari kuwa utaenda tu hata breki hazifanyikazi utasimama kwa hand break au mafuta yakiisha utabeba kidumu ukimbilie shell, service ya ndege huwa haisubiri hadi iharibike.Unasema kweli kabisa. Je tatizo la ndege kuharibika au kupata hitilafu nani anajua litatokea saa ngapi??
Maisha yako yote hujawahi kununua kitu na kikapata shida right away.??
Kama ni 100℅ perfect kwa sababu umenunulia bei kubwa ni kwanini kampuni zinaweka warranty??
Haha.. Hakuna kitu kinaniacha hoi kama wewe kutokujua kwamba Rais anashauriwa anunue nini na akinunulie wapi. Haamki na kwenda kama anaenda super market kuhemea.
Hio nayo inahitaji kuelezewa?
Hicho ni kiashirio tosha ya kuwa Rais wetu anajali. Hajaamua kufanya siri na pili walipogundua ina shida ikapelekwa kukarabatiwa.. Au nyie mlitaka awafurahishe, aiache mbaki na dhana ni nzima, watu waanguke wafe?Sasa hayo unasema ww, what if ungesema tu maybe iliharibika wakaenda kununua visaa China so now wanafunga, ingekuwaje?
"Rais ni taasisi sio mtu" na ndio maana ikulu ina ofisi na makazi ya watumishi wengi ndani. Pili Urais hauendeshi kama ufalme. Bado tu?Tupe udhibitisho wa kauli yako