hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Mleta Uzi ameileta kama habari. Hajaileta kama swali!
Pengine hujui kanuni za sentensi kuonekana ni swali na sentesi kuwa hoja.
Ww una complicate ishu coz akili yako inakutuma kila mtu ambae Anaongea positive basi yuko tofauti na serikali, yy ni Mtanzania na ameuliza au ameongea kitu kuhusu property ya Tanzania