hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Ndege ina muda maalumu na sehemu maalumu ya kufanyiwa service siyo kila siku iko chini ya mwembe kama DCM la Mbagala.
Sasa kama ni services mbona karakana kubwa iko Dar es Salaam? Why service Zanzibar?