Moja ya habari ilionisikitisha sana mwaka huu ni hii

Moja ya habari ilionisikitisha sana mwaka huu ni hii

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,375
Reaction score
28,484
Huko pakistan, wengi wa watoto wa kike wanapozaliwa wanatupwa na mama zao kutokana na utamaduni uliopo katika jamii zao wa kupendelea zaidi watoto wa kiume. Pakistan ni moja ya nchi duniani ambazo wasichana wanapitia uminyaji wa hali ya juu.

Ndoa za utotoni, ndoa za kulazimishwa, ubakaji, kutopata elimu, kutosikilizwa madai ya mwanamke, etc

Haya ndio madhara ya kufanya itikadi ya kuletewa na kumezeshwaa izidi utashi binafsi uliozaliwa nao.
20251206_103815.jpg
 
Huko pakistan, wengi wa watoto wa kike wanapozaliwa wanatupwa na mama zao kutokana na utamaduni uliopo katika jamii zao wa kupendelea zaidi watoto wa kiume. Pakistan ni moja ya nchi duniani ambazo wasichana wanapitia uminyaji wa hali ya juu.

Ndoa za utotoni, ndoa za kulazimishwa, ubakaji, kutopata elimu, kutosikilizwa madai ya mwanamke, etc

Haya ndio madhara ya kufanya itikadi ya kuletewa na kumezeshwaa izidi utashi binafsi uliozaliwa nao.
View attachment 3512026
Ni bora wawalee kisha waniletee Mimi.
 
i blesseed the day Wamisionari walivyotia mguu kwenye ardhi yetu kutuleta ujumbe mzuri, wengi wetu tunachukulia poa na kawaida maisha tulionayo leo hii na hatutambui how similar mila zetu zilikuwa kama hizo za primitive pakistani kabla ya Christiniaty kuingia kwetu, ukijua mambo ya kimila ambayo yalikuwa ni kawaida kwenye mila zetu leo hii hauwezi kuamini, kuanzia kutoana kafara, kuuana, kuna watu walikuwa wanazikwa hai yaani wanafukiwa huku wakiona na mambo mengine mengi ya kutisha sana.
mmesahahu utekaji na mauaji ya watoto wenye ulemavu wa ngozi yaliyoshamiri awamu ya na kuuza viungo vyao for power, how evil is that? ...
 
Uzi una harufu ya...
Mleta mada kuna alichotaka kukisema akaogopa lakini bado tu nikwambie hiyo ni mila potofu ya hao uliowataja, hilo neno "kuletewa" lina kazi gani?
 
  • Kicheko
Reactions: al1
i blesseed the day Wamisionari walivyotia mguu kwenye ardhi yetu kutuleta ujumbe mzuri, wengi wetu tunachukulia poa na kawaida maisha tulionayo leo hii na hatutambui how similar mila zetu zilikuwa kama hizo za primitive pakistani kabla ya Christiniaty kuingia kwetu, ukijua mambo ya kimila ambayo yalikuwa ni kawaida kwenye mila zetu leo hii hauwezi kuamini, kuanzia kutoana kafara, kuuana, kuna watu walikuwa wanazikwa hai yaani wanafukiwa huku wakiona na mambo mengine mengi ya kutisha sana.
mmesahahu utekaji na mauaji ya watoto wenye ulemavu wa ngozi yaliyoshamiri awamu ya na kuuza viungo vyao for power, how evil is that? ...
Ulichosema ni kweli. Kuna kabila moja hapa nchini (sitalitaja) ambapo zamani akifa chifu wakati wa mazishi lazima apatikane mtu wa "kumsindikiza". Yaani mtu anazikwa kaburini pamoja na chifu ila yeye anapaswa kuzikwa akiwa hai. Anakalishwa pembeni mwa maiti ya chifu kisha kaburi linafukiwa.
Kuna utaratibu wa kimila unafanywa ili kumfanya huyo mtu asiwe mwoga na kujaribu kutoroka. Matokeo yake anafukiwa huku akitabasabu na kufurahia. Ni kama vile hajui kinachoendelea🤔
 
Huku tunapo waona watoto wakiarabu wakike tuna wanababaikia hatari wakati Tungekuwa huko Tungekuwa tuna wachukua Bure Bure

Anyway wanao fanya hivyo hawana Akili

Nature the way ilivyo Kila kilichopo kipo utaratibu wa kufanya power imbalance of Nature ukisema ukiondoe tu una Haribu Kila kitu
 
Huko pakistan, wengi wa watoto wa kike wanapozaliwa wanatupwa na mama zao kutokana na utamaduni uliopo katika jamii zao wa kupendelea zaidi watoto wa kiume. Pakistan ni moja ya nchi duniani ambazo wasichana wanapitia uminyaji wa hali ya juu.

Ndoa za utotoni, ndoa za kulazimishwa, ubakaji, kutopata elimu, kutosikilizwa madai ya mwanamke, etc

Haya ndio madhara ya kufanya itikadi ya kuletewa na kumezeshwaa izidi utashi binafsi uliozaliwa nao.
View attachment 3512026
Itikadi gani hiyo ? fafaunua
 
Kajielimishe zaidi kijana hiyo ni tamaduni ipo India na Pakistan wala haina uhusiano na dini
Na kikubwa kinachowafanya wafanye hayo ni gharama kubwa sana za kuozesha watoto wa kike kwasababu wao ndio wanaotoa mahari kuwapa familia ya wanaume.
 
Kajielimishe zaidi kijana hiyo ni tamaduni ipo India na Pakistan wala haina uhusiano na dini
Na kikubwa kinachowafanya wafanye hayo ni gharama kubwa sana za kuozesha watoto wa kike kwasababu wao ndio wanaotoa mahari kuwapa familia ya wanaume.
Haijalishi

Kinachojadiliwa hapa ni uhai wa mtu

Kwahiyo wanastahili kufa? Usiwe mvivu kufikiria kiasi hiko

Seems kama unaeleza wanastahili sababu ya gharama kubwa za mahari na kuozesha basi wafe tu ili wazazi wakwepe hizo cost
 
Huko pakistan, wengi wa watoto wa kike wanapozaliwa wanatupwa na mama zao kutokana na utamaduni uliopo katika jamii zao wa kupendelea zaidi watoto wa kiume. Pakistan ni moja ya nchi duniani ambazo wasichana wanapitia uminyaji wa hali ya juu.

Ndoa za utotoni, ndoa za kulazimishwa, ubakaji, kutopata elimu, kutosikilizwa madai ya mwanamke, etc

Haya ndio madhara ya kufanya itikadi ya kuletewa na kumezeshwaa izidi utashi binafsi uliozaliwa nao.
View attachment 3512026
Sasa wakiwamaliza hao Wanawake wakiume watazaliwaje? mbona maajabu haya? wanaendana na utofauti na uumbaji wa Mungu? Nchi si itakuwa na wanaume tu watazliana vipi sasa.
 
Wajinga sana hao jamaa,baadae mwanamke atakuwa bidhaa adimu sana watajila vinyeo
Siyo baadae hata sasa madhara wameshayaona,tupo nao hapa Kariakoo wanakwambia Pakistan ukijiona unadindisha sana ukasema uongeze mke itabidi uvuke boda Bangladesh au India ukaoe huko.

Ndani ya Pakistani hakuna mwanamke anakubali kuolewa mke wa pili kwa sababu wanaotaka kuwaoa ni wengi sema wazazi wanachagua sana utofauti wa kiitikadi umaskini etc,Pakistan maskini sana kupata mke uwongo labda aoe mlemavu.
 
Back
Top Bottom