Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,915
- 30,259
- Thread starter
- #461
Wa kusoma,
Umesoma hiyo tayari ushafunga ubongo wako.
Hapo nazungumza kuhusu dharau.
Labda nikuulize.
Wanaweza maaskofu wakafungwa Tanzania Bara kisha wakatolewa
na kupelekwa Zanzibar kufungwa na huko wakalawitiwa na Waziri
wa Mambo ya ndani kuulizwa akajibu uchunguzi utafanyika lakini
wataangalia kama maaskofu hawakuwa wanafanya vitendo hivyo
kabla?
Majibu haya ndani ya Bunge.
Anaweza kuingia nchini Mkristo na vitabu kutoka Vatican akaulizwa
kwa nini unaingiza vitabu vya Pope nchini?
Yuko mwenye ujasiri huo?
Rejea kwenye maneno yangu upya na jifungue kamba ulizojifunga ili
utazame picha kubwa ya sakata hili lote.
Ipeleke akili yako kwenye, ''kibri,'' na ''kupuuza.''
Ondoka huko kwenye fikra za, ''uonezi.''
Umesoma hiyo tayari ushafunga ubongo wako.
Hapo nazungumza kuhusu dharau.
Labda nikuulize.
Wanaweza maaskofu wakafungwa Tanzania Bara kisha wakatolewa
na kupelekwa Zanzibar kufungwa na huko wakalawitiwa na Waziri
wa Mambo ya ndani kuulizwa akajibu uchunguzi utafanyika lakini
wataangalia kama maaskofu hawakuwa wanafanya vitendo hivyo
kabla?
Majibu haya ndani ya Bunge.
Anaweza kuingia nchini Mkristo na vitabu kutoka Vatican akaulizwa
kwa nini unaingiza vitabu vya Pope nchini?
Yuko mwenye ujasiri huo?
Rejea kwenye maneno yangu upya na jifungue kamba ulizojifunga ili
utazame picha kubwa ya sakata hili lote.
Ipeleke akili yako kwenye, ''kibri,'' na ''kupuuza.''
Ondoka huko kwenye fikra za, ''uonezi.''