FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
Wakuu pengine niseme tu kuwa kilichonyuma ya mo ibrahimu dhidi ya mkapa ni zanzibar 2001, hilo ndilo jambo ambalo wakubwa hawakutaka litokee kule kwa kisingizio cha demokrasia lakini mkapa alithibitisha kuwa yeye ni mkuu wa nchi na siyo genge kama wakubwa wanavyotaka sasa ionekane kuwa ni uvunjaji wa haki za binadamu, ninasisitiza kuwa bwm ktk issue ya zenj ilimpasa kuwajibika ktk stahili ile, pengine tumuulize dkt salim kama yeye angelikuwa rais zama zile angefanya nini kuzima uasi ule wa wapemba? Kama kuibiwa kura walishaibiwa tangu 95, ule ulikuwa ni ujeuri wa kumtishia mtu mzima nyau.
Kuhusiana na tuhuma za ufisadi hilo nalipinga kwani mo ibrahim org haiwezi kufanyia kazi tuhuma za mtaani ambazo hazijathibitika kisheria, na siyo mo ibrahimu tu bali mtu yeyote makini na mpenda na mtenda haki kamwe hawezi kujiingiza ktk maamuzi yanayotegemea media tena za tz.
Mogae ame score zaidi kt vita against aids jambo ambalo kwa kule wenzetu ni janga sawa na malaria tz, hivyo msije shangaa jk akiitwa tuzo hii endapo tu mambo yataenda kama yalivyo sasa hapa nchini.
All in all hii inathibitisha kuwa ndani ya mo ibrahim na panel ya majaji kuna mgawanyiko mkubwa juu ya kile kilichompatia chisano tuzo hiyo 2007, ni dhahiri kuna watu ndani yake hawakuridhika kukosa kwa mkapa.
Pengine nikubaliane na wakosoaji kuwa ilitosha kwa 2007 mkapa kuwa runner up, na haikuwa vema tena this year kum consider kwa tuzo hiyo maana jamaa kaiacha nchi 2005 hii 2008 na mbaya zaidi ni tuzo ya pili why considerring mkapa and not others hata kama si marais? Hapo wamethibitisha udhaifu wao wa vigezo kiutendaji.
Lakini ninaomba kufahamu pia kama ni kweli huyu comrade aliingizwa tena ktk kinyang'anyiro hicho ambacho si cha kuomba?
Maana nahisi media zetu kama kawaida bado siziamini.
Kuhusiana na tuhuma za ufisadi hilo nalipinga kwani mo ibrahim org haiwezi kufanyia kazi tuhuma za mtaani ambazo hazijathibitika kisheria, na siyo mo ibrahimu tu bali mtu yeyote makini na mpenda na mtenda haki kamwe hawezi kujiingiza ktk maamuzi yanayotegemea media tena za tz.
Mogae ame score zaidi kt vita against aids jambo ambalo kwa kule wenzetu ni janga sawa na malaria tz, hivyo msije shangaa jk akiitwa tuzo hii endapo tu mambo yataenda kama yalivyo sasa hapa nchini.
All in all hii inathibitisha kuwa ndani ya mo ibrahim na panel ya majaji kuna mgawanyiko mkubwa juu ya kile kilichompatia chisano tuzo hiyo 2007, ni dhahiri kuna watu ndani yake hawakuridhika kukosa kwa mkapa.
Pengine nikubaliane na wakosoaji kuwa ilitosha kwa 2007 mkapa kuwa runner up, na haikuwa vema tena this year kum consider kwa tuzo hiyo maana jamaa kaiacha nchi 2005 hii 2008 na mbaya zaidi ni tuzo ya pili why considerring mkapa and not others hata kama si marais? Hapo wamethibitisha udhaifu wao wa vigezo kiutendaji.
Lakini ninaomba kufahamu pia kama ni kweli huyu comrade aliingizwa tena ktk kinyang'anyiro hicho ambacho si cha kuomba?
Maana nahisi media zetu kama kawaida bado siziamini.